tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
siku hizi watu wanajiajiri wenyewe ,ukimaliza chuo unaomba mkopo unaazisha biashara.
sasa wewe unasoma HR utakuja kumfanyia nani usahili?
kwa hiyo kazi ya HR ni kufanya usahili? Kama hujui kitu tulia siyo unatapika tu humu.