wakuishiishi
Member
- Dec 27, 2024
- 12
- 13
Jamani naomba kujua je, bachelor in applied geology ina soko kwa saa hizi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama ni hvo nisome course ipi kati ya bachelor in applied geology, bachelor in laboratory science na bachelor in architecture??So, ukiambiwa inasoko kwa saa hizi utaenda kusoma halafu baada ya miaka mitatu soko limebadirika utatafuta kozi nyingine?
Vijana mna safari ndefu sana!
Nina miaka 19Una umri Gani kijana wangu.😌
Nina
Nina miaka 19Una umri Gani kijana wangu.😌
Wacha hizo KoziNina miaka 19
Sa nisome course ipi? me Niko form six CBGWacha hizo Kozi
Ko yenyew ina soko kwa sasa?Soma architecture kikubwa uwe na passion nayo
Mdogo wangu kwa dunia ya sasa ukisoma kwa kuangalia soko la kuajiriwa utapotea sana.Ko yenyew ina soko kwa sasa?
Kwenda advance kwa hizo Comb ulikua umeyakanyaga lakini chakukushauri Soko limeyumba sana haswa kwenu. Soma unachoweza kufanya hata usipo ajiriwa ila muhimu utatafuta ujuzi wa kiufundi pia.Sa nisome course ipi? me Niko form six CBG
Kijana soma Lab Science Uhasibu na It utapoteza muda, kama Uhasibu kila Chuo kinazalisha, at least uwe na CPA.Kijana kasome Uhasibu au IT kama vigezo vinaruhusu.
Afadhali umeuliza mapema.
Kama hizipendi hizo kozi mbili anza kuzipenda sasa.
Kasome architecture.Sasa kama ni hvo nisome course ipi kati ya bachelor in applied geology, bachelor in laboratory science na bachelor in architecture??
Umemaliza.Soma architecture kikubwa uwe na passion nayo