wakuishiishi
Member
- Dec 27, 2024
- 12
- 13
- Thread starter
- #21
Sasa Kwan walioweka hizo combination hawana akili?Naimani wanaelewa wanachokifanya ko kama CBG Haina course nying nzuri kwanini bado ipo? Naimani hata ukisoma CBG utapata kazi wangap wamesoma CBG na niwaajiriwa pia wengne wamejiajir??Kwenda advance kwa hizo Comb ulikua umeyakanyaga lakini chakukushauri Soko limeyumba sana haswa kwenu. Soma unachoweza kufanya hata usipo ajiriwa ila muhimu utatafuta ujuzi wa kiufundi pia.