Bachelor mimi nimedakwa na mke wa mtu

Bachelor mimi nimedakwa na mke wa mtu

Unajua tulioa tunahangaika sana, tunarisk na kusacrifice Mambo mengi sana ili kutunza familia then anatokea mtu anakugongea mkeo kwa kisingizio mkeo kajilengesha! Aisee ibaki hivi hivi tu sijui kinachoendelea upande wa pili ila siku nikijua sijui itakuaje! Tungekua tunakaa mtaa mmoja ningekufanya kitu hamna Aisee!
Punguza jazba mkuu.
 
Wakuu za majukumu.

Awali ya yote niseme tu kuwa nilishaapa kutotongoza mke wa mtu cozi najua mke wa mtu sumu.

Basi ni kama mwezi umepita, kuna siku mwanamke mmoja ameolewa, nimemzoea kama shemeji. Nilikutana nae meneo ya baa, alikuwa amejibust kidogo, aliponiona alinifuata na kunikumbatia huku akichezesha kiuno. Masikini mcroun Mimi, masai alisimama nikabaki nafikiria namna ya kujinasua pale. Ilikuwa kigiza ndo kinaingia lakini niliogopa mno licha ya midadi
Mimi nakushauri nenda kamuombe msamaha jamaa nyumbani kwake akiwepo na mkewe,kuwa hamtaludia tena.
 
Mkuu mi nakushauri achana na hao wanaokwambia uende kumuomba msamaha jamaa, aisee atakufanya kitu mbaya hata kukudhuru kabisa. Hakunaga uungwana kwenye kuchapiwa wewe asikudanganye mtu.

We kausha tu na uyo mke wake we mteme kabisaa kama inawezekana hama kabisa huo mtaa. Na jamaa akizidi kukufatilia mkatae mwambie hutoki na mkewe kataa katakata, ruka futu 100.

Kujilengesha kwa jamaa eti umuombe msamaha, ni kumpa linda jamaa bila hata kuhangaika kwanza atajua we muoga muoga na atakufanya mbaya tu. Kaa mbali nao yeye na mkewe.
 
kuna manzi alipangiwa chumba nyumbani kwetu baada ya kuzalishwa na huyo jamaa ambae alikuwa mganga tapeli..

jamaaa alikuwa mtu wa kusafiri hata miezi 2 .

nikaanza mazoea na demu wake maana kalikuwa kadogo bado kazuri ila kamezalishwa tuu!

sababu kipindi hicho nilikuwa majalala mtu wa kushinda home tuu ilikuwa rahisi kuanza kula mzigo!

kigezo ilikuwa nambeba mtoto nambembeleza akilala nampeleka kwa mamaake ikawa ndo gia nikiingia nakula bao moja chapu!nikitoka humo nanuka kikwapa tuu..

siku hiyo sikujua km mjita amerudi,
nimeenda nikaanza kugonga mlango!
hahahaha acha nijicheke tuu.

mlango ukafunguliwa na demu afu akanikonyeza kwa haraka nikamuomba chumvi huku naliona na lijamaaa lipo kifua wazi linatokezea!!

hilo la kuomba chumvi saa tisa mchana jamaa alipata walakini !

niliondoka hapo ila baadae jamaa alitafuta alinichimba biti moja matata sana!wala hakuongea kwa kupanic au ku shout polepole ila sindano iliingia na ule utoto bado nilikuwa nao !
 
Mkiambiwa wanawake wenu wanatongoza wanaumeb mnabishaa ...... Mwanamke hathaminiki muwe mnaelewa haijalishi ni mama yako au laa....! Kama mama yako ndio ametulia kamuulize baba yako makubwa anayo pitia na huyo mama yako......as long as wewe ni mwanaume hakikisha unasimama kidete kuutetea uanaume wetu ..... Hayo mambo ya kupakana mafuta kisa mkeo utafila wanaume wenzio wangapi......? Narudia tena ukifumania jua mkeo ndio anatongoza wanaume.


NB
Wewe jamaa ulifeli point moja tu alivyo jileta ilitakiwa umnyandue chap kabla mambo hayajawa mengi angepunguza munkali Wa kukutafuta .....Mwanamke ukimkataa ndio anakua kichaa na anaongeza juhudi .

Yaani ilitakiwa umsugue vibaya vibaya ili akuone unashow mbovu akuache ...ila kitendo cha kumkatalia ndio kinakupa mmateso sasa ona sasa marinda yako yapo rehani na mzigo haukula hahahahaja
Mzigo alikula mara moja. Soma vizuri mkuu.
 
Hakuna mtu atakususia mke kwa kukupa taarifa. Mwenye nia ya kumsusa mke anamwacha tu bila hata kuhangaika na wewe.

Mtafute polisi akamatwe kisha hayo maelezo ayatolee polisi hii itakusaidia maana hujui hasira zitamtuma afanyaje, Yatakapokwisha achana na wake za watu.
 
Mkuu mi nakushauri achana na hao wanaokwambia uende kumuomba msamaha jamaa, aisee atakufanya kitu mbaya hata kukudhuru kabisa. Hakunaga uungwana kwenye kuchapiwa wewe asikudanganye mtu.
We kausha tu na uyo mke wake we mteme kabisaa kama inawezekana hama kabisa huo mtaa. Na jamaa akizidi kukufatilia mkatae mwambie hutoki na mkewe kataa katakata, ruka futu 100.

Kujilengesha kwa jamaa eti umuombe msamaha, ni kumpa linda jamaa bila hata kuhangaika kwanza atajua we muoga muoga na atakufanya mbaya tu. Kaa mbali nao yeye na mkewe.
Ushauri mzuri kuwahi kuupata. Sitajipeleka kuomba msamaha. Kwanza alivyokuja hakutaka kunipa nafasi ya kujitetea ili ajue nasemaje juu ya hiyo insu. Pili, yapo mazingira yanayoashiria kwamba jamaa hana uhakika wa kuwa tayari nimeshamchapia au la ila alikuwa anaongea kubahatisha. Sababu alinambia nina muda mrefu natoka na mkewe kitu ambacho siyo sahihi. Yaani ikizidi sana wiki tatu au mwezi. Chengine, msg sijawahi mtumia mwanamke wala kumpigia cm. Hivyo mazingira nayoyaona ni kuwa alimfuma anaongea na cm au aliona zile sent msg anazonitumia mwanamke.

Hivyo basi, nitasimama kuikabiri dhahama yoyote atakayoanzisha. Mtaa siwezi kuhama sababu tayari niko na uwekezaji mkubwa tu, hivyo kumkimbia nitajitoa kwenye reli mwenyewe.

Na nimepanga nikane mwanzo mwisho kuhusu kutoka na mkewe hata atanifuata kwa mara nyingine.
 
Mke wa mtu si kitu cha kusogelea kama unaakili zinafanya kazi vizuri
Ukiwaza maumivu unayopata ukuhisi unapigiwa the same applys kwa wengine ..usifanye kile amabcho hupendi kufanyiwa.
Binafsi nimewahi fanya ujinga wa kumtongoza mke wa mtu na akakubali ikawa bado kula tu ..ila niliwaza sana namna mme wake anavyompenda halafu nimfanyie vile, nilimwambia ukweli kuwa mmeo mstaarabu sana nikizini na wewe itanipa usumbufu sana moyoni ..uzuri alinielewa
 
Wakuu mrejesho: iko ivii leo saa mbili usiku mwanamke kanifuata napokaa akaja kugonga alipofunguliwa akaniulizia. Bahati nzuri nilikuwa ndani. Basi nilipotoka kuwa naitwa na mtu nlishtuka kumuona yeye. Akaneleza kuwa ile siku anaongea na mimi kwenye simu alikuwa chumbani kumbe wakati huo mme wake alikuwa ameshafika yupo sebuleni.

Japo maongezi hayakuwa na ushahidi wa moja kwa moja, ila jamaa kilichomshitua ni ile kuonekana pale chumbani mwanamke akakata simu ghafla. Jamaa aliipokonya cm na kuanza kuifuatilia namba ndipo alipogundua kuwa ni Mimi.

Alimhoji mke wake kuwa ni nini alikuwa anazungumza na Mimi. Mke akajitetea kuwa mimi namdai deni alinikopa laki na nusu. Ndipo mwanaume alipokuja kwangu. Kufika kwangu hakuniuliza kuwa mke wake namdai Bali alunishutumu kutoka nae na akawa ameahidi kuniachia. Ndugu msomaji ukumbuke hakunipa nafasi ya kujitetea hata chembe, hivyo hakusikia kauli yangu yoyote.

Kumbe jamaa alivyorudi kwa mkewe akamwambia nimeenda kwa mcroun nimemuuliza amejubali kweli unatembea nae tena amesema toka muda mrefu Sana. Mke alikana hakukubali hata kidogo.

Basi huyo bidada nukamwambia labda mmewe hana uhakika ila anajaribu kubashiri tu. Hivyo wakuu nipo navuta upepo, ila nimejuta balaa. Pengine hili pigo limekuja Kama funzo maana nilisita sana kurespond, naiblock naitoa. Mpaka nikaamua kuiserve poison. Now I play to God for this to be forgotten!!
 
Mkuu mi nakushauri achana na hao wanaokwambia uende kumuomba msamaha jamaa, aisee atakufanya kitu mbaya hata kukudhuru kabisa. Hakunaga uungwana kwenye kuchapiwa wewe asikudanganye mtu.
We kausha tu na uyo mke wake we mteme kabisaa kama inawezekana hama kabisa huo mtaa. Na jamaa akizidi kukufatilia mkatae mwambie hutoki na mkewe kataa katakata, ruka futu 100.

Kujilengesha kwa jamaa eti umuombe msamaha, ni kumpa linda jamaa bila hata kuhangaika kwanza atajua we muoga muoga na atakufanya mbaya tu. Kaa mbali nao yeye na mkewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna manzi alipangiwa chumba nyumbani kwetu baada ya kuzalishwa na huyo jamaa ambae alikuwa mganga tapeli..

jamaaa alikuwa mtu wa kusafiri hata miezi 2 .

nikaanza mazoea na demu wake maana kalikuwa kadogo bado kazuri ila kamezalishwa tuu!

sababu kipindi hicho nilikuwa majalala mtu wa kushinda home tuu ilikuwa rahisi kuanza kula mzigo!

kigezo ilikuwa nambeba mtoto nambembeleza akilala nampeleka kwa mamaake ikawa ndo gia nikiingia nakula bao moja chapu!nikitoka humo nanuka kikwapa tuu..

siku hiyo sikujua km mjita amerudi,
nimeenda nikaanza kugonga mlango!
hahahaha acha nijicheke tuu.

mlango ukafunguliwa na demu afu akanikonyeza kwa haraka nikamuomba chumvi huku naliona na lijamaaa lipo kifua wazi linatokezea!!

hilo la kuomba chumvi saa tisa mchana jamaa alipata walakini !

niliondoka hapo ila baadae jamaa alitafuta alinichimba biti moja matata sana!wala hakuongea kwa kupanic au ku shout polepole ila sindano iliingia na ule utoto bado nilikuwa nao !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom