Bachelor mimi nimedakwa na mke wa mtu

Kama ameshapajua mpaka getini kwako, imekaa vizuri sana hio, yajayo yanafurahisha.

Hakikisha ghetto una kikopo cha mafuta mgando kikae standby. Wasije wakakuumiza ukashindwa kutupa mrejesho humu jukwaani kuhusu mkao watakao kuanzia.
😂😂😂😂😂 kweli JF raha sana mkuu umejua kunifurahisha
 
Jana jamaa nilikutana nae restaurant akipata dinner. Nikamsalimia akaitikia nami nikaagiza order yangu. Uzuri yeye alikuwa anamalizia, kisha akalipa na kusepa
 
Chukua iyo laki unusu umeshatengenezewa fursa changamka
 
Tatizo la wabongo ni tunatiana hofu zaidi kuliko kusaidiana. Nipe Suluhu mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu suluhu siku hizi inapatikana kwenye vikopo vya mafuta.
 
Subiri upigwe jeck ya matako
 
Tatizo la wabongo ni tunatiana hofu zaidi kuliko kusaidiana. Nipe Suluhu mkuu
Hilo lako mkuu pambana na hali yako, ushauri hama mji haraka kimya kimya kabla ya majuto mjukuu
 
Kuna issue zmekua sio za kuomba ushauri JF, 85% Ni ushauri unaokera imagine mkubwa mzma anakushauri ujiandae kuf*rw. yaan hapo kamaliza
 
Kuna issue zmekua sio za kuomba ushauri JF, 85% Ni ushauri unaokera imagine mkubwa mzma anakushauri ujiandae kuf*rw. yaan hapo kamaliza
Be strong. Acha tabia zote unazoamini ni mbaya kiroho na kijamii. Dont compromise.

Narudia

Dont cc ompromise.
 
Be strong. Acha tabia zote unazoamini ni mbaya kiroho na kijamii. Dont compromise.

Narudia

Dont cc ompromise.
 
Dah! Hapa Sijui nikushaurije[emoji848]

Anyway, ngoja njfikirie kwanza[emoji4]
 
Mke anauma machungu aliyokuwa nayo jamaa anaweza akakuundia tume imalize kazi, na huu mwaka ulivyo na mauaji
 
Ila hiyo sio njama kweli? Amepajuaje unapoishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…