Bachelor of arts in economics vs bachelor of commerce in finance.

Bachelor of arts in economics vs bachelor of commerce in finance.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
wakuu,naomba kuuliza,ivi kati ya hizo kozi mbili ipi iko mzuka zaidi ya mwenzake ktk job market?
 
ebwana economics unawza kupga kazi wap na wap?
 
Hiyo economics ni art(BAE) ambayo not much wider bt nakushauri uende finance coz ile ni b.commerce(BCOMF) inaweza kukupa msaada zaidi mbeleni kama unaakili ya maisha sababu silazima sana uajiliwe
 
Vp khs Bs in Agricultural economics and Agribusines
 
iyo BAE kinachozidiwa na BCOMF nikwasababu ni arts alafu pia mtu wa Bcom nae pia anagonga iyo Economics! finance iko mbali sana compared to iyo BAE, pia mtu anaepiga Bsc in economics yuko mbele pia compared to BAE. i stand to be corrected.
 
Hiyo economics ni art(BAE) ambayo not much wider bt nakushauri uende finance coz ile ni b.commerce(BCOMF) inaweza kukupa msaada zaidi mbeleni kama unaakili ya maisha sababu silazima sana uajiliwe

Kama huna mpango wa kuajiriwa soma course unayoipenda usitafute ambayo ni mzuka. Kumbuka Kwamba Chuo hawafundishi kazi, wanafundisha how to think so inategemea unataka kufikiri vp. Economics is about resource planning na finance is about financial planning (risk reward trade-off). Waajiri Wengi siku hizi hawajali mtu amesoma nn wanaangalia ability to think and make appropriate decision ktk mazingira tofati then wanajua mtu mzuri ukimfundisha kazi ataweza sio tu kuifanya ila ataweza kudesign njia nzuri zaidi ya kuifanya. Soma Kitu unachokipenda, fanya vizuri yaani faulu
 
Umzuka wa kozi unategemea na mipango yako maishani. Kiujumla hizo kozi zote mbili later kupata kazi ni ngumu. BCOM Marketing au Accounting ni better.
 
Kama huna mpango wa kuajiriwa soma course unayoipenda usitafute ambayo ni mzuka. Kumbuka Kwamba Chuo hawafundishi kazi, wanafundisha how to think so inategemea unataka kufikiri vp. Economics is about resource planning na finance is about financial planning (risk reward trade-off). Waajiri Wengi siku hizi hawajali mtu amesoma nn wanaangalia ability to think and make appropriate decision ktk mazingira tofati then wanajua mtu mzuri ukimfundisha kazi ataweza sio tu kuifanya ila ataweza kudesign njia nzuri zaidi ya kuifanya. Soma Kitu unachokipenda, fanya vizuri yaani faulu

nimekusoma vzr mkuu,hzo programs zote mbili nilikua nazipenda bt imetokea nimechaguliwa BA-Economics.
 
kwa tanzania economics sio dili sanaaa coz mafisad ndo wanashkilia uchumi na hawatak watalaam, wanatutafuna tu a good example is prof ibrahim lipumba n mchumi mzur huwa had anatumika na nchi za nje kama uganda na nyinginezo nyingiii kutokana na ujuz wake lakin hapa bongo hajapewa hata nafas
soma finance ina chanel nying za kaz
uchumi utaenda kufundishwa uchumi wa australia cjui utaomba kaz kwa bibi ako??? N mawazo 2
 
kwa tanzania economics sio dili sanaaa coz mafisad ndo wanashkilia uchumi na hawatak watalaam, wanatutafuna tu a good example is prof ibrahim lipumba n mchumi mzur huwa had anatumika na nchi za nje kama uganda na nyinginezo nyingiii kutokana na ujuz wake lakin hapa bongo hajapewa hata nafas
soma finance ina chanel nying za kaz
uchumi utaenda kufundishwa uchumi wa australia cjui utaomba kaz kwa bibi ako??? N mawazo 2

duh!mbona mnanitisha wakuu?
 
economics is hurb of everthing so ndani ya hii eeconomics kuna fianace unasoma then ts gud sana.....ukitaka gud lyfe soma hii..........achana na BECOM:israel:
 
Back
Top Bottom