Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
economics is good
Hiyo economics ni art(BAE) ambayo not much wider bt nakushauri uende finance coz ile ni b.commerce(BCOMF) inaweza kukupa msaada zaidi mbeleni kama unaakili ya maisha sababu silazima sana uajiliwe
Kama huna mpango wa kuajiriwa soma course unayoipenda usitafute ambayo ni mzuka. Kumbuka Kwamba Chuo hawafundishi kazi, wanafundisha how to think so inategemea unataka kufikiri vp. Economics is about resource planning na finance is about financial planning (risk reward trade-off). Waajiri Wengi siku hizi hawajali mtu amesoma nn wanaangalia ability to think and make appropriate decision ktk mazingira tofati then wanajua mtu mzuri ukimfundisha kazi ataweza sio tu kuifanya ila ataweza kudesign njia nzuri zaidi ya kuifanya. Soma Kitu unachokipenda, fanya vizuri yaani faulu
kwa tanzania economics sio dili sanaaa coz mafisad ndo wanashkilia uchumi na hawatak watalaam, wanatutafuna tu a good example is prof ibrahim lipumba n mchumi mzur huwa had anatumika na nchi za nje kama uganda na nyinginezo nyingiii kutokana na ujuz wake lakin hapa bongo hajapewa hata nafas
soma finance ina chanel nying za kaz
uchumi utaenda kufundishwa uchumi wa australia cjui utaomba kaz kwa bibi ako??? N mawazo 2