faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
msaada jamani kwa wale wanaoijua hii programme/course inahusika na nini na ajira yake ikoje kama mtu akiisoma udsm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msaada jamani kwa wale wanaoijua hii programme/course inahusika na nini na ajira yake ikoje kama mtu akiisoma udsm
iko poa ukifaulu vzuri umeula.ngoja waje wataalam kama Perry
ninachojua uchumi ni general , yani unagusa sekta zote za biashara,tegemea kuwa economic analyst yani kama mtabiri wa maswala ya kiuchumi katika kampuni, financial advisor lakini hii utashirikiana na watu wa BAF, Marketing prospecting kama mtabiri wa masoko..bwana mipango na fani zinazofanania na hizo , kwa maelezo zaidi jaribu ku google "what can i do with a B.A in economics"
hilo ndo lilikua lengo lako na sio kitu kingine
Hutojutia kusoma hii course lakini be sure huogopi calculus na sio mvivu kufikiri.
Ushauri wangu usisome course kwa sababu inalipa bali sikiliza nini moyo unataka.
Umesoma hesabu walau BAM? Vinginevyo utaona uchumi mgumu sana. Kama hukusoma anza kujifunza integration nadifferentiation.