Bachelor of Clinical Medicine

Bachelor of Clinical Medicine

Ngoja waje,
Nitashukuru wakija maana dah
Nilimpataga chief mmoja humu mwaka juzi alisoma hio kozi,alinipa information za kutosha sana..

Sema nimepoteza mawasiliano yake,na wakati huu ndio nahitaji sana
 
Kuna nyuz niliionaga nadhan ilikuwa sijui bachelor clinical medicinal and surgery, chek nyuzi za nyuma na ninahis inasomwa hiyo koz nchin Rwanda, nimekupa hints jaribu kufuatilia zaid
 
Hakunaga bachelor ya hvyo , hyo ni course ya udaktari ngazi ya Cheti , kwenye Afya bachelor ya udaktari inaitwa Medical Doctor , huenda mambo yamebdrika labda Leo ipo hyo course ya bachelor of clinical medicine....Ila sidhani ,
 
Hakunaga bachelor ya hvyo , hyo ni course ya udaktari ngazi ya Cheti , kwenye Afya bachelor ya udaktari inaitwa Medical Doctor , huenda mambo yamebdrika labda Leo ipo hyo course ya bachelor of clinical medicine....Ila sidhani ,

Uko nje ya dunia ebu rudi,
 
Nitashukuru wakija maana dah
Nilimpataga chief mmoja humu mwaka juzi alisoma hio kozi,alinipa information za kutosha sana..

Sema nimepoteza mawasiliano yake,na wakati huu ndio nahitaji sana
Nchi yetu complicated sana soma tu MD au mbbs mambo yasiwe mengi
 
hiyo kozi haipo, kuna ordinary diploma in clinical (co) medicine tu, zaman kdg kulikuwa na assistant moedical officer (amo) ambayo ilikuwa ni advanced diploma in clinical medicine ila wakaifuta, ukitoka hapo ndo unakutana na degre, hyo bachelor degree in medicine (md).
labda huyo doctor alisomea nje
 
hiyo kozi haipo, kuna ordinary diploma in clinical (co) medicine tu, zaman kdg kulikuwa na assistant moedical officer (amo) ambayo ilikuwa ni advanced diploma in clinical medicine ila wakaifuta, ukitoka hapo ndo unakutana na degre, hyo bachelor degree in medicine (md).
labda huyo doctor alisomea nje
Ipo Kenya, Uganda km sikosei na Rwanda. Ila bado ilikuwa haitambuliki Tanzania.. so ukija huku ilikuwa inatambulika km AMO tu. Sijui kama mambo yapo hivyo hivyo au yamebadilika
 
Msaada jamani, kijana wa kaka yangu ana one ya point nane pcb, kozi zipi aombe ambazo hazina ushindani mkubwa na kwa vyuo vipi?
 
Mkuu wewe ni muha?
Hakunaga bachelor ya hvyo , hyo ni course ya udaktari ngazi ya Cheti , kwenye Afya bachelor ya udaktari inaitwa Medical Doctor , huenda mambo yamebdrika labda Leo ipo hyo course ya bachelor of clinical medicine....Ila sidhani ,
 
hiyo kozi haipo, kuna ordinary diploma in clinical (co) medicine tu, zaman kdg kulikuwa na assistant moedical officer (amo) ambayo ilikuwa ni advanced diploma in clinical medicine ila wakaifuta, ukitoka hapo ndo unakutana na degre, hyo bachelor degree in medicine (md).
labda huyo doctor alisomea nje
Ficha ujinga wako basi!!Angalia usajili huu wa MCT na vyeti hivi
 

Attachments

  • IMG-20230707-WA0059(1).jpg
    IMG-20230707-WA0059(1).jpg
    26.6 KB · Views: 52
hiyo kozi haipo, kuna ordinary diploma in clinical (co) medicine tu, zaman kdg kulikuwa na assistant moedical officer (amo) ambayo ilikuwa ni advanced diploma in clinical medicine ila wakaifuta, ukitoka hapo ndo unakutana na degre, hyo bachelor degree in medicine (md).
labda huyo doctor alisomea nje
 

Attachments

  • IMG-20230711-WA0059.jpg
    IMG-20230711-WA0059.jpg
    34.8 KB · Views: 56
  • FIRST YEAR.jpg
    FIRST YEAR.jpg
    85.1 KB · Views: 53
  • SECOND YEAR.jpg
    SECOND YEAR.jpg
    84.4 KB · Views: 44
  • THIRD YEAR.jpg
    THIRD YEAR.jpg
    78.3 KB · Views: 39
  • FOURTH YEAR.jpg
    FOURTH YEAR.jpg
    88 KB · Views: 41
hiyo kozi haipo, kuna ordinary diploma in clinical (co) medicine tu, zaman kdg kulikuwa na assistant moedical officer (amo) ambayo ilikuwa ni advanced diploma in clinical medicine ila wakaifuta, ukitoka hapo ndo unakutana na degre, hyo bachelor degree in medicine (md).
labda huyo doctor alisomea nje
Kama hauna taarifa za kutosha ni vyema usikomment chochote ndugu,unapotosha watu ambao wanahitaji kujua

Haya evidence hizo hapo zimetumwa,,,
 
Taratibu za kufuata ili usome hio kozi ni zipi,naomba ufafanuzi
 
Back
Top Bottom