Bachelor of Health System Management!

Bachelor of Health System Management!

Dogo isome. Ni moja ya kozi ambazo huwezi kosa kazi na ukiwa mzuri utafika mbali sana.
Maana ukishakua na experience unaweza kutembelea priavte health centres kuanzia dispensary mpaka hospitali ku offer consultancy services za namna ya ku manage hospitali and trust me ukiweza kujieleza vizuri utapata kazi ukimbie!
Ukimaliza nitafute!

Asante kwa kunitia moyo, ngoja nikasome!
 
Asante kwa kunitia moyo, ngoja nikasome!
Kwa sasa wa Tanzania ndio wamegundua kuwa hospitali haziwezi kuwa managed na madaktari. Mtu anafundishwa kutibu halafu unakuja kumweka ndio manager au administrative affairs za hospitali wapi na wapi?
Mnahitajika sana tu, sio tu serikalini lakini kwa watu binafsi wenye biashara za hospitali! Mimi siwezi kumwajiri mtu mwenye a general business management degree ku run hospitali nimwache mtu aliyesomea hospital system management. Wazungu walishaona utofauti mkubwa wa skills zinazohitajika kuendesha biashara/ shughuli zingine na skills zinazohitajika kuendesha hospitali.
Unachosoma ndio emerging courses Africa japokua kwa wenzetu toka miaka ya 90 wameintroduce vyuoni. Soma wakija kushtuka market iko saturated.
Cha muhimu jifunze "kujiuza" yani advertise your skills once you have them, kwasababu kama unavyoona wengi hawana uelewa wa hii kitu.

Ukitoka hapo uchukue masters ya health economics, dogo WHO, UNICEF e.t.c. inakua viwanja vyako vya kujidai.
 
Kwa sasa wa Tanzania ndio wamegundua kuwa hospitali haziwezi kuwa managed na madaktari. Mtu anafundishwa kutibu halafu unakuja kumweka ndio manager au administrative affairs za hospitali wapi na wapi?
Mnahitajika sana tu, sio tu serikalini lakini kwa watu binafsi wenye biashara za hospitali! Mimi siwezi kumwajiri mtu mwenye a general business management degree ku run hospitali nimwache mtu aliyesomea hospital system management. Wazungu walishaona utofauti mkubwa wa skills zinazohitajika kuendesha biashara/ shughuli zingine na skills zinazohitajika kuendesha hospitali.
Unachosoma ndio emerging courses Africa japokua kwa wenzetu toka miaka ya 90 wameintroduce vyuoni. Soma wakija kushtuka market iko saturated.
Cha muhimu jifunze "kujiuza" yani advertise your skills once you have them, kwasababu kama unavyoona wengi hawana uelewa wa hii kitu.

Ukitoka hapo uchukue masters ya health economics, dogo WHO, UNICEF e.t.c. inakua viwanja vyako vya kujidai.

Great thinker.
 
Kwa sasa wa Tanzania ndio wamegundua kuwa hospitali haziwezi kuwa managed na madaktari. Mtu anafundishwa kutibu halafu unakuja kumweka ndio manager au administrative affairs za hospitali wapi na wapi?
Mnahitajika sana tu, sio tu serikalini lakini kwa watu binafsi wenye biashara za hospitali! Mimi siwezi kumwajiri mtu mwenye a general business management degree ku run hospitali nimwache mtu aliyesomea hospital system management. Wazungu walishaona utofauti mkubwa wa skills zinazohitajika kuendesha biashara/ shughuli zingine na skills zinazohitajika kuendesha hospitali.
Unachosoma ndio emerging courses Africa japokua kwa wenzetu toka miaka ya 90 wameintroduce vyuoni. Soma wakija kushtuka market iko saturated.
Cha muhimu jifunze "kujiuza" yani advertise your skills once you have them, kwasababu kama unavyoona wengi hawana uelewa wa hii kitu.

Ukitoka hapo uchukue masters ya health economics, dogo WHO, UNICEF e.t.c. inakua viwanja vyako vya kujidai.
..........Mishahara wanaanzia kiasi gani ukiwa na bachelor? Hayo maelezo yamefanya nipende hii kozi.
Tuwashauri wadogo zetu wakasome kzoi kama hizi kama zinalipa.
 
Bachelor ya HSM haina market tena, nakumbuka nikiwa first year wale waliomaliza darasa la kwanza kabisa walipata wote kazi; sasa hivi masters ya HSM ndo ina-market kidogo. Na wengi wanaosoma hii masters of HSM ni Madaktari. Nina marafiki zangu kibao wamemaliza hii kozi na hawana ajira
 
Bachelor ya HSM haina market tena, nakumbuka nikiwa first year wale waliomaliza darasa la kwanza kabisa walipata wote kazi; sasa hivi masters ya HSM ndo ina-market kidogo. Na wengi wanaosoma hii masters of HSM ni Madaktari. Nina marafiki zangu kibao wamemaliza hii kozi na hawana ajira

Una uhakika mkuu?
 
Bachelor ya HSM haina market tena, nakumbuka nikiwa first year wale waliomaliza darasa la kwanza kabisa walipata wote kazi; sasa hivi masters ya HSM ndo ina-market kidogo. Na wengi wanaosoma hii masters of HSM ni Madaktari. Nina marafiki zangu kibao wamemaliza hii kozi na hawana ajira

Mzee naona unaongea kwa kukaririshwa maneno kama kasuku, kozi hii ipo Mzumbe tu, na hata wanaodahiliwa kwa kozi hii ni wale tu wenye ufaulu wa hali ya juu, field zake hazisumbui kabisa pia hata ajira zake hazisumbui mzee.
 
..........Mishahara wanaanzia kiasi gani ukiwa na bachelor? Hayo maelezo yamefanya nipende hii kozi.
Tuwashauri wadogo zetu wakasome kzoi kama hizi kama zinalipa.
Sina uhakika sana Pretty kwa serikalini ila nachojua ni kwamba salary scale za sector ya afya ndio za juu nchini. However, sector binafsi inategemea na ofisi yenyewe watu hulipwa kuanzia 800 mpaka 1.4. Ila hutugemea sana na eneo.
Demand ni kubwa na ipo. Uelewa tu wa watu ndio bado haujakamata.
Kwa mfano mashirika ya nje yanavyoleta misaada ya tiba hapa nchini imegundulika hata hio misaada ikija kuna matatizo katika delivery ya misaada yenyewe sababu hakuna watu wenye uelewa wa health systems and management.
Hivyo utakuta kwa mfano WHO, au Global Fund ikitaka kutoa hela ya project katika hospitali au health centre inatafuta mfahamu wa project management kwenye health centre na itamhitaji huyu mtu maana daktari hana ujuzi huo!
Kuna kazi za ma DMO za management imeonekana hawana uwezo wa kutenda kiufanisi na hivyo imependekezwa makatibu wasiwe madaktari bali watu wenye hospital management degrees.
Ukiacha huko, health centre na dispensary kibao zinashindwa kupiganhatua kibiashara japokua zina hela sbabau ya lack of the appropriate management skills zinazohitajika kwa hospitali.
Daktari hajui biashara, nesi hajui biashara wataendeshaje hospitali?
No kozi specific na ina market!
 
Wewe unaongea nini ? Nimesoma Mzumbe na Kumaliza Mzumbe main.
Huo ndo ukweli wapo weng wamemLiza na hawana ajira mwaka huu
 
Mzee naona unaongea kwa kukaririshwa maneno kama kasuku, kozi hii ipo Mzumbe tu, na hata wanaodahiliwa kwa kozi hii ni wale tu wenye ufaulu wa hali ya juu, field zake hazisumbui kabisa pia hata ajira zake hazisumbui mzee.

Wewe unaongea nini ? Nimesoma Mzumbe na Kumaliza Mzumbe main.
Huo ndo ukweli wapo weng wamemLiza na hawana ajira mwaka huu
 
Wewe unaongea nini ? Nimesoma Mzumbe na Kumaliza Mzumbe main.
Huo ndo ukweli wapo weng wamemLiza na hawana ajira mwaka huu

Sasa mkuu hao wa mwaka huu wataajiriwa vipi na wakati mahafali yenyewe bado?
 
Jiadanganye tu hivyo hivyo kozi mbuzi zako hizo za sociology na PSPA.

Wewe ndo mbuz....unaesoma kwa kukarir kusud upate grade nzur na ajira na c kuelewa na kuapply unachosoma....Without sociology the world would b more dan hell
 
Back
Top Bottom