Sijui ila nadhani UDSM wana Masters yake. Data science ni field mpya vyuo vyetu bado havijahuisha mitaala. So, I'd say kudos kwa Prof Bisanda na team yake hapo OUT. Program yao ni perfect kwako kwa vile unafanya kazi. Enroll OUT kisha tafuta extra study resources you'll make it mkuu.Nashukuru sana mkuu,
Kwani ukiacha OUT, kuna chuo kingine kinachotoa hii bachelor kwa hapa Dar tena chenye option ya evening class?
Nimesema Dar na evening class kwa maana niko busy na shughuli zingine that's why nime opt OUT
Nashukuru sana mkuu,Sijui ila nadhani UDSM wana Masters yake. Data science ni field mpya vyuo vyetu bado havijahuisha mitaala. So, I'd say kudos kwa Prof Bisanda na team yake hapo OUT. Program yao ni perfect kwako kwa vile unafanya kazi. Enroll OUT kisha tafuta extra study resources you'll make it mkuu.
Kama nilivyosema sio lazima ufanye undergrad ya Data Science ili uwe analyst unaweza fanya BA Economics au Statistics au Computer Science. Hao edX wana courses kibao za Data science na analysis from leading industry players kama IBM na Microsoft pia wana Micromasters from good US schools.
Sijui ila nadhani UDSM wana Masters yake. Data science ni field mpya vyuo vyetu bado havijahuisha mitaala. So, I'd say kudos kwa Prof Bisanda na team yake hapo OUT. Program yao ni perfect kwako kwa vile unafanya kazi. Enroll OUT kisha tafuta extra study resources you'll make it mkuu.
Kama nilivyosema sio lazima ufanye undergrad ya Data Science ili uwe analyst unaweza fanya BA Economics au Statistics au Computer Science. Hao edX wana courses kibao za Data science na analysis from leading industry players kama IBM na Microsoft pia wana Micromasters from good US schools.
Ndio unaweza ukapata scholarships. Nina jamaa namfahamu alipata scholarship hizi Nordic countries kufanya MSc Data Science baada ya kumaliza alipata kazi kama analyst huko in a leading firm anaishi na familia yake huko.One more question mkuu, usinichoke.
Incase nikisoma hapo OUT na ku-enroll edX na nikapata GPA nzuri (OUT) japo lengo nahitaji kuwa competent sana, naweza kupata full scholarship kwa nchi kama USA kwa level ya masters?
Lengo hapa ni kwenda kupata a world class ubobezi/competence na exposure kutoka huko duniani.
NB: nina diploma ya clinical l medicine (clinical officer).
Thanks sana mkuu,Ndio unaweza ukapata scholarships. Nina jamaa namfahamu alipata scholarship hizi Nordic countries kufanya MSc Data Science baada ya kumaliza alipata kazi kama analyst huko in a leading firm anaishi na familia yake huko.
Kwa vile umesoma mambo ya afya jikite kwenye analytics kwenye health and allied sciences. Fursa zipo huko! Tayari una advantage kuliko peers wako wengi.
Usichoke kuuliza mkuu. Let's push each other tufanikiwe.
Asante mkuu,Thanks sana mkuu,
May Almighty God bless you.
Kitacho kufanya uwe bora sio chuo, ni wewe mwenyeyew. Kwa hiyo course kama hujitumi hata ukisoma Harvard university utakua empty kichwani!!Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa nature ya shule ya distance learning to be specific pale OUT?
2- Baada ya ku-graduate, chances za kupata ajira au kujiajiri ikoje, thank you.
Regards,
Da Hustla.
Thanks mkuuKama unaitaji kwenda open University pako vizur kwa ushauri wangu na kwa kozi Kama yako hua wanafundisha online and distance mode pamoja na face to face so Kuna mda utaingia daraeani wapo vizur ila wanna center nyingi wew jiunge kwenye center kubwa Kama ya kinondoni pale vitabu vipo kila kitu na utasoma
SIjui kuhusu ajira zake, ila nachojua ni kuwa kuhusu competency hiyo haiwi determined na chuo bali juhudi zako mwenyewe, so usiangalie jina la chuo ktk kupata competency, bali angalia commitment yako mwenyewe!!!Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nina swali kuhusu hii Bsc in Data Management inayotolewa pale Open University of Tanzania.
1- Competency, unaweza kutoka ukiwa competent enough kwa nature ya shule ya distance learning to be specific pale OUT?
2- Baada ya ku-graduate, chances za kupata ajira au kujiajiri ikoje, thank you.
Regards,
Da Hustla.
Admission requirements zikoje kwa fani hiiiAsante mkuu,
All the best kwenye masomo yako. Nikipata wasaa, nitakupa recommendations za vitabu vya kusoma, tutorial na links za seminars na workshops.
Blessings your way
Mkuu hzi course kama Ai zinatolewa hapo OpenUT? Hii ya Data science/management inachukuwa muda gani kuhitimu?Kitacho kufanya uwe bora sio chuo, ni wewe mwenyeyew. Kwa hiyo course kama hujitumi hata ukisoma Harvard university utakua empty kichwani!!
Kozi yoyote inayo husu IT au kompyuta jua chuo kina msaada mdogo sana kwenye ubora wako.
Ubora wako utatokana na jinsi unavyo jituma na sio chuo ulichosoma.
NB: Hiyo kozi pamoja na kozi za AI/ML (kama huzijui ka google) ndio future iliko...