Mkuu ulisoma hii course? Na je chuo cha open kinatambulika vizuri nchi nyingine...?Kama unaitaji kwenda open University pako vizur kwa ushauri wangu na kwa kozi Kama yako hua wanafundisha online and distance mode pamoja na face to face so Kuna mda utaingia daraeani wapo vizur ila wanna center nyingi wew jiunge kwenye center kubwa Kama ya kinondoni pale vitabu vipo kila kitu na utasoma
Ni magufuli aliua uchumi, kwa sasa ni swala la muda tu mambo yatakua sawa.Mmh!
Naona hizi bachelor zimekuwa nyingi kuliko kawaida.
Hivi bado watu hapa Tz wanawaza kusoma bachelor ili kuja kuajiriwa?
Kwa kweli ni bahati nasibu sana kutoboa.
Few courses (kama afya) bado kidogo kuna nafasi ya kuajiriwa, lakini fani nyingi mambo yamebadilika sana.
Umefikia wapi mkuu?Thanks mkuu
Asante mkuu,
All the best kwenye masomo yako. Nikipata wasaa, nitakupa recommendations za vitabu vya kusoma, tutorial na links za seminars na workshops.
Blessings your way
Kabla ya kusaidia kujibu uliyemuuliza swali naomba kukuuliza na wewe, kwanini unaonyesha mashaka kuhusu eti OUT kutambulika vizuri nchi nyingine?Mkuu ulisoma hii course? Na je chuo cha open kinatambulika vizuri nchi nyingine...?
Kuna watu wanaesma scholarship/kazi/ nje wanazingatia "vyuo vikuu" tu!Kabla ya kusaidia kujibu uliyemuuliza swali naomba kukuuliza na wewe, kwanini unaonyesha mashaka kuhusu eti OUT kutambulika vizuri nchi nyingine?
Sijajua kuhusu hilo, lakini kama wanazingatia "Vyuo Vikuu " tu hata Open University of Tanzania nacho ni Chuo Kikuu kamili chenye ithibati kutoka TCU!!!!Kuna watu wanaesma scholarship/kazi/ nje wanazingatia "vyuo vikuu" tu!
Unaweza endelea tu kunifafanulia
Unaweza nisaidia nipate majibu, kwa maswali ya hapo juu niliyowauliza wadau?Sijajua kuhusu hilo, lakini kama wanazingatia "Vyuo Vikuu " tu hata Open University of Tanzania nacho ni Chuo Kikuu kamili chenye ithibati kutoka TCU!!!!
Ni course inayochukuwa muda gani?, gharama..je?Nasubiri wafungue dirisha la application August kwa ajili ya intake ya mwez wa kumi/academic year 2021/2022
Sawa sawa!Thanks mkuu,
Ni miaka 3 mpaka 6, ina units 40 @90,000, so mpaka unamaliza ni kama 3,600,000, ila first year andaa 1,200,000 ila inalipwa kwa installment
Aingie MIT open courseware. Wanatoa kozi data science ila kuna mda wanakunyima full access mpaka uchangie ila kozi ziko vizuri kama upo class vile.Asante mkuu,
All the best kwenye masomo yako. Nikipata wasaa, nitakupa recommendations za vitabu vya kusoma, tutorial na links za seminars na workshops.
Blessings your way
Thanks boss,Aingie MIT open courseware. Wanatoa kozi data science ila kuna mda wanakunyima full access mpaka uchangie ila kozi ziko vizuri kama upo class vile.
Tarehe 2jun watakuwa na python For begginer hasa data science. Kwa kuwa anataka kujiunga okt ni vema aingie apate hizi introduction kutoka vyuo vikubwa.
Kozi ni free.
Ulete mrejesho. Harvard, Birminghsm vyoye vina free course, jenga utamaduni wa kutembelea katija sight zao mara kwa mara ili uendane na uhalisia.Thanks boss,
Am on it..
Mkuu RastusSina uzoefu na OUT na sijui curriculum yao ila Data Science ni kozi nzuri ajira zipo. Ulimwengu umebadilika we have loads of data ila hakuna analysts.
Data scientists wanafanya kazi mahali popote pale zilipo takwimu. Kwa Tanzania, fursa za ajira serikalini sio nyingi sana inabidi ujiongeze na ufanye networking hapo utaweza kujiajiri.
Darasani utasoma statistics na programming languages kama Python na Pascal. Kama utasoma OUT, enroll for online courses za edX zitasupplement vitu vingi ambavyo sidhani kama utacover ukiwa OUT.
Ni vizuri ukasoma Data Science na specialisation nyingine mfano ukifanya Economics au Finance na Data Science unakuwa Financial Analyst. Ukifanya hivi unaongezea uelewa wa mambo na chances za kuajiriwa ama kujiajiri kama mshauri au mtafiti.
Analysts wengi field hawasomi BSc Data Science undergraduate; wengi wana degrees in different fields kama Accounting, Finance, Statistics, Econ ama Public Health. Vitu vingi unajifunza on job!
Kila la heri.
mkuu BA ya human resource management gharama yake ikoje?Mkuu Rastus
Hii hapa curriculum ya OUT kwa Bsc Data Management.
Your views or any comment?View attachment 1843879
Well, courses zao zinacover key things.Mkuu Rastus
Hii hapa curriculum ya OUT kwa Bsc Data Management.
Your views or any comment?View attachment 1843879
Ndio, utapewa cheti chako.Mkuu nasoma kupitia EdX Internet of Things(IoT) hivi ni kweli ukiwalipa certificate wanakupatia?