Bachelor of Science in Data Management - Open University of Tanzania

Nashukuru sana mkuu,


Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba, despite ya google kutoa training na certificate pia, ila ukiiva kwenye hizo analytics wanaweza kukupa kazi ukawa unapiga remotely,hii scenario ikoje?
 
Nashukuru sana mkuu,


Kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba, despite ya google kutoa training na certificate pia, ila ukiiva kwenye hizo analytics wanaweza kukupa kazi ukawa unapiga remotely,hii scenario ikoje?
Sijuani na watu waliofanya kazi Google ila hakuna kinacho shindikana, just be good in your craft.
 
Mkuu Rastus ,


Napenda kutoa mrejesho kwamba nimefanikiwa kupata admission OUT-Bsc Data Management, so nasubri hiyo November nianze mchakamchaka.

I will keep on following ulichonishauri, na nitakuwa nakucheck for any enquiries,thank you.
 
Mkuu Rastus ,


Napenda kutoa mrejesho kwamba nimefanikiwa kupata admission OUT-Bsc Data Management, so nasubri hiyo November nianze mchakamchaka.

I will keep on following ulichonishauri, na nitakuwa nakucheck for any enquiries,thank you.
Hongera Sana
 
Mkuu Rastus ,


Napenda kutoa mrejesho kwamba nimefanikiwa kupata admission OUT-Bsc Data Management, so nasubri hiyo November nianze mchakamchaka.

I will keep on following ulichonishauri, na nitakuwa nakucheck for any enquiries,thank you.
Usikae unasubiri mwalimu darasani anza kupiga jaramba youtube..

Ukingoja mwalimu akufundishe kila kitu utakuja isoma namba.
 
Mkuu Rastus ,


Napenda kutoa mrejesho kwamba nimefanikiwa kupata admission OUT-Bsc Data Management, so nasubri hiyo November nianze mchakamchaka.

I will keep on following ulichonishauri, na nitakuwa nakucheck for any enquiries,thank you.
Tuwasiliane mkuu.. Mim pia n mmoja wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…