daltony temu
Member
- Jun 7, 2019
- 10
- 4
Ndio unaweza kuibadili lkn itategemeana na ufaulu wako pia na vigezo vinavyo itajika kwende kwenye course unayo itaka wwuwezo wa kuibadil si unawezekana !na inataratibu zipi !?
MisituPale sokoine umesoa kozi gani
YapHongera ni moja mwa kozi nzuri kuna marafiki zangu baadhi walikuja kusoma hapo sua hiyo kozi, naona wako vizuri kiasi chake.
Umemaliza mwaka upi queen?Misitu
Misitu