Bachelor of science in information technology (IFM)

Bachelor of science in information technology (IFM)

danmarc

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
567
Reaction score
115
Kwa kweli ndugu zangu mimi nimekosa mwelekeo wa maisha kwa sasa . Sasa nimeamua nichukue hii degree naombeni ushauri wenu hasa katika upatikanaji wa ajira
 
Ukisubir kuajiriwa utapata tabu ila katika course nzuri kwa kujiajiri ni computing
 
mm pia nimeichagua hii... sihofii ajira najua kabisa sitalala njaa....
 
Jaribu kuwa mbunifu tu, IT & Computer science ni courses nzuri sana na they do pay off a lot...Dunia sasa imetawaliwa na Technology na tuendako ndio kabisa...mtatafutwa
 
Ni course nzuri sana ht mm nasoma, hasa katika kujiajiri na mshahara wake ni mkubwa ukiajiri,nakushauri ukipata nafasi ya kusoma hiyo courze usisindikize wenzio ujifunze kwa umakini itakusaidia badae
 
Back
Top Bottom