hongera kama utazimudu hizo zote,,ila kwa mtazamo na uzoefu wangu nenda civi,,LAKINI USISOME UD kiukweli pale limebaki jina tu nenda kati ya hivi vyuo..
-DIT
-ST JOSEPH (ila hawa inabidi ukubali kuachana na starehe zote wanabana ile mbaya)
-MUST
,,,,sina ugomvi na UD ila jaribu kwenda pale chuoni tembelea wanafunzu wa hizo department wakufunulie kila kitu kuhusu wanayosoma na kivitendo wako vipi?
------pia tembelea na st joseph ukaone wanavosoma
...nenda na DIT,,,,,,,,,,,USISAHAU MUST
NI MTAZAMO NA UZOEFU WANGU TU