Bachelorette Shyrose Bhanji

Life goes on,hata akiuza njugu sio mbaya...
 
Achilia mbali NMB mpaka City Water kabla ya Lowasa kuivunja na kuwa DAWASA...huyo dada ni MPAMBANAJI hivyo sio wakubeza maana wangapi wamepitia kama yeye wakati wengine system ikiwatema tu kidogo wanatepeta
 
Hiyo program sijui kama itakua na uhai,claim kubwa itakuwa ni MAADILI....MAADILI....
 
Ila huyu dada kichwa sana namzimia sana katika harakati zake za siasa na Maisha. Pia sio mtu wa kinyongo kabisa alikosa uteuzi kugombea ubunge kino wala hakukonda. Mungu mafanyie wepesi katika kila jambo lake inshallah
 
Duuh kwa sisi wenye confidence hyo tutafuna watoto wengi kinyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…