Utafiti unasema chanzo #1 cha mmigogoro ndani ya ndoa
ni suala la upatikanaji na matumizi ya pesa ndani ya nyumba:
nani anatafuta, anatafuta kwa njia gani? nani anatumia,
anatumia kwa kupata vitu gani? nani anaset priorities?
Kuna mengine pia, ngoja niwapishe wana ndoa wataje,
mi nimeleta hili ambalo limesha fanyiwa utafiti (source)
Kuna ukweli hapa ila mimi nadhani hizi monetary problems hutumiwa kama ngao ya kuhalalisha tu hizo divorce lakini underneath huwa kuna sababu halisi imejificha.
Ohh!!!Let me declare interest kwanza kabla ya kusema mengi Super-Bachelor..
madame gfsonwin, mzee Mtambuzi na mito naomba niwashukuru kwa niaba ya mabachelor na mabachelorette wote wa humu jf. mnatutia moyo sana ili tuwe waangalifu na makini kuingia ktk chama kubwa la TAMU (TAnzania Marriage Union). naomba kuongezea point ndogo sana. wanandoa wanapaswa kuchuliana madhaifu yao na sio kuyafanya yale madhaifu kuwa kigezo cha kumnyanyasa / kumdharau mwenzi wako. bali kumrekebisha kwa upendo kwan hakuna binadamu mkamilifu. . .
Utakuwa humuhumu.........mleta sredi atajua namna ya kutofautisha the rest wewe changia.............Au waonaje senior bachelor
apo senior bachelor nani? gfsonwin humwoni akitiririka huku? khaaa!
kwa ninyi mabachelor nawashauri msiingie kwa vile kila mtu anaingia. Ingia ukiwa unajua kuwa kuna raha na changamoto zake. Muhimu ni kuchukulia changamoto kama njia ya kuboresha zaidi mahusiano yenu ya ndoa na sio kutumika kuifirigisa.
Badala ya nyie mabachelor kukimbia challenges..nawashauri muwe na moyo wa kuzi face...ni kitu kizuri kuwa risk taker na mtu unayependa challenge...kwani hata kwenye usingo cheating zipo...brocken hearts za kumwaga...sioni mnakimbia nini. At least marriage ni commitment unaweza ku claim ownership ya ulonaye. Lol. kwa hiyo kwangu naona kuna less challenges na less risks kulinganisha na u single.
NIimekupata mito....sasa tuseme ndio hivyo umegundua mapungufu ya mwenzi wako mechanism gani inayotumika ku-solve tatizo ama inategemea utakalofikiria wakati huo?
Siajelewa hapo kwenye red
Nimekupata nyumba kubwa...............Hebu turudi kwenye huo usingo, ndio kuna cheating, broken hearts n.k lakini usisahau hapo hakuna commitment ya maana na unaweza kusema X ameni-cheat naumia but ikifika jioni naenda kwangu angalau napata muda wa kutafakari na pengine uhuru mkubwa wa kutafuta/kupata ushauri na hata kama linafikia hitimisho la kuachana haligharimu sana (hatuna watoto, mali tulizochuma, ndugu waliounganishwa na ndoa yetu n.k), kwa maana nyingine uhuru ni mkubwa na challenge zipo lakini zinabebeka!
Wakati kwenye ndoa ni hali tofauti kabisa kwa kuzingatia hayo hapo juu
Nilisoma mahali watu walikuwa wanachangia Yahoo baada ya mmoja kati ya ma superstar kutangaza divorce...moja ya michango mpaka leo naukumbuka...jamaa alisema ndoa za sasa hazidumu kama zamani kwa kuwa baba na mama zetu, babu na bibi zetu walikuwa wana 'collect brocken pieces'...sisi wa kizazi hiki tuna 'throw them away'.
Najua wanaume wengi wanasema kuna kosa ambalo hawawezi samehe, nalo ni uzinzi. Lakini leo hii 90% ya wanawake either walisamehe au wana propensity to forgive cheaters. Nadhani ni sababu ya mfumo dume na ego ya wanaume..kwani kwa nchi za wenzetu wapo wanaume wanaosamehe hilo kosa. Na kama wewe unasamehewa kwa kosa hilo hilo ni kwa nini usisamehe?
Anyway point ni kuwa ndoa ni challenge kwani mmekutana ukubwani lazima kuna lots of differences. Hao ndugu wa tumbo moja tu tuna differ sana sembuse mtu kakulia na kulelewa familia nyingine.
Badala ya nyie mabachelor kukimbia challenges..nawashauri muwe na moyo wa kuzi face...ni kitu kizuri kuwa risk taker na mtu unayependa challenge...kwani hata kwenye usingo cheating zipo...brocken hearts za kumwaga...sioni mnakimbia nini. At least marriage ni commitment unaweza ku claim ownership ya ulonaye. Lol. kwa hiyo kwangu naona kuna less challenges na less risks kulinganisha na u single.