Back in action

Back in action

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
yeah...dah. Wapendwa baada ya kupata Ban siku kadhaa zilizopita kutokana na utovu wa nidhamu ningependa kuomba radhi kwa niriowakwaza.
Nmejifunza kutokana na makosa
Napia najua mrinimiss sana marafika zangu nami nimewamiss sana pia
Naomba kuwasilisha
Kiungo mkongwe Sergio 5
 
yeah...dah. Wapendwa baada ya kupata Ban siku kadhaa zilizopita kutokana na utovu wa nidhamu ningependa kuomba radhi kwa niriowakwaza.
Nmejifunza kutokana na makosa
Napia najua mrinimiss sana marafika zangu nami nimewamiss sana pia
Naomba kuwasilisha
Kiungo mkongwe Sergio 5
Ndiyo uritukwaza,= ulitukwaza.
Ndiyo turikumiss = tulikumiss
Marafika = marafiki.


Karibu sana . usirudie kosa
 
Au nikuitie kiboko yako Numbisa?
Mwache Numbisa wa watu analea mimba ya mme wa mtu...
images
 
Back
Top Bottom