Back to back,Hamisa Mobetto na yeye kesho kuibuka mjengoni

sidhan kama Ronaldo aliwahi kumkana mwanaye hadharani wala kumtusi baby mama wake
 
Hapa kuna watu kesho hawatafanya kazi kabisa kwa muda wa masaa manne kama ilivyokuwa leo.

Na hii ndio Tanzania nchi ya wapenda udaku.
Hapo ndiyo watamuudhi mkulu. Yaani hours kumsikiliza Diamond wakati wamekuwa wavivu kumsikiliza yeye. Teh teh teh
 
Kwahiyo wanataka na kesho tutoroke kazini...

!??
 
Ningemshauri Huyu binti achill....

Haina maana.
 
Ila diamond kafanya jambo lisilotegemewa maana watu walikuwa wamejiandaa akane basi wamvamie.
Sasa mwenyewe kathibitisha labda hamisa aanze rusha meseji walizokuwa wanachat maana akipost picha na video hazina maana tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…