Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
sidhan kama Ronaldo aliwahi kumkana mwanaye hadharani wala kumtusi baby mama wakeAkijitokeza huenda akajiharibia zaidi Christiano Ronaldo alizaa na mwanamke asiyejulikana na alilipwa pesa ndefu mzaaji ametulia hadi leo maisha yanaendelea vizur tu wazungu wametuacha mbali mno ingekuwa bongo kwa utajir ule wa ronaldo na umaarufu alionao mtu kama hamisa unamwambia tulia walahi anakuua. Ronaldo junior anashinda sana bibi yake + baba yake wanafurahia maisha