Back to back,Hamisa Mobetto na yeye kesho kuibuka mjengoni

Sasa huyo zari ana tofauti gani na hamisa wote ni gold diggers !

Tena bora hamisa hana limkanda la kujidildo, but Zari na huo msitu? Aibuu asee!

Hayo ya kwake diamond nani anamfaa ila kwa kiasi fulani kaonesha kumjali zaidi zari aombe lisibume tu hadi alimfikia hatua ya kumuita hamisa bitch ni dharau
 
Kesho wengine na mie tunamsikiliza JPM akiwa anahutubia..

Tutawasomaaaaaaaa tukipata muda.
 
Watu washaingizwa mjini na msaga
 
kama mkuu wa nchi mwenyewe alisema anapenda kuwasikiliza "shirawadu" ss n akina nan bas 2spende "ushirawadu"
 
Hapo km anasema "khaaa we Hamisa we utaniua mwenzio mweeh"πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hahahahaha msaga amebuni hadithi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…