Bad mood

Bad mood

na kama ana bad mood daily imekula kwake....wakati wewe una mood, yeye hana.
 
Tuko beach tunasikiliza reggae kwa radio ya gari nasikia kadedicate lovely song kwa mwanamke mmoja nauliza eti ananiambia huyo ni mwarabu alikua anapenda taarab ye ndo amemfanya apende raggae eti wako group moja BBM wakati mi ndo nimepigika when he lost his name kama verse 1 ya wimbo inavyosema lakini cjawahi kupata dedication nasikia wivu mbaya

dah wanaume wemgine bana....wanachosha kweli kweli
 
Ngoja niku check na kiona mbali nitajua unachomaanisha.........:director:
 
Back
Top Bottom