Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Mnajuana wenyewe HiZi habari sinaga utaalam wa kuzichambua ila sioni kama dogo janja nafanya uanaumeKwani na Yeye alipofuatwa fuatwa na Soud Brown ilikuwa private? Soud Brown kamuumbua na Yeye Dogo Janja nae kamaliza kabisa shughuli hivyo sasa ngoma ' droo ' na labda Soud Brown atabadilika na akili itamkaa sawa.