Badaaaaam Batamwagika, Dogo Janja amtolea uvivu Soudy Brown

Kama ndicho kipaji chake basi hana budi kukitumia ili asiende kuhukumiwa kwa uzembe N.a. muumba wake.
 
[emoji2] [emoji2]
 

Sure mzee, na ukitaka kuamini hilo, dogo kashafuta hiyo post kwenye IG acc yake nadhani wakina Tale washamwambia.
 
Uwoya mrudishe mtoto wa watu kwaooo....

Haha noma sana mzee, dogo anaaibisha waliooa, Baba wa familia huwezi kuwa unakurupuka kindezi hivi.
 

Hiyo post haijakaa hata lisaa mkuu, ameshaifuta uone nguvu ya kina Ruge
 
Sure mzee, na ukitaka kuamini hilo, dogo kashafuta hiyo post kwenye IG acc yake nadhani wakina Tale washamwambia.
Wadau walinibishia hapo juu!
Ila ni ukweli usiofichika soudy Na kile kipindi chake wanawaingizia clouds pesa ndefu sana ruge hawezi kubali msanii ambaye bado mdogo Dogo janja aharibu ile brand ya soudy!

Kumbuka walivyohangaika kurudisha kwenye peak wakati ule wa bashite
 

Uandishi wa Janjaro ni mbaya sana.
 
Samahani kwa kutoka nje ya mada, lakini ningependa kuongea ukweli kuwa UKRISTO SIO DINI YA HAKI, NDOMANA WAKRISTO WOOTE WAMELAANIWA, UKIWAANGALIA WAKRISTO WENGI USONI WANA SURA MBAYA KA MATAKO,

Kweli kabisa yani sura kama ya huyu mkuu hujakosea si wamuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…