pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Alitoa hoja bwana Zungu kuwa wananchi wachangie serikali kupitia line za simu bila kujua kuwa tayari wanachangia kupitia kununua vocha na kutuma na kupokea pesa.
Sasa zungu akatoa hoja nyingine ya wananchi kulipishwa mara mbili kwenye huduma moja, yaani pale unapotuma hau kutoa pesa kuna kodi ya ongezeko la thamani hiyo inamwangukia mlaji moja kwa moja ndiye mlipaji.
Zungu akaona hiyo haitoshi, akaleta hoja ya kulipishwa kodi ya kichwa kupitia miamala ya kutuma na kupokea pesa ambayo haieleweki huwiyano wake, na serikali ikapokea na kubambikizia wananchi.
Hili bunge badala ya kutoa hoja ya kuwapa nafuu wananchi wamegeuka watafta mbinu ya kuwakomoa wananchi. Ndugai na genge lake ambao hawakuchaguliwa na wananchi wanawakomoa wananchi ili kulipiza kisasi kwa kutowachagua hili halikubaliki.
Sasa zungu akatoa hoja nyingine ya wananchi kulipishwa mara mbili kwenye huduma moja, yaani pale unapotuma hau kutoa pesa kuna kodi ya ongezeko la thamani hiyo inamwangukia mlaji moja kwa moja ndiye mlipaji.
Zungu akaona hiyo haitoshi, akaleta hoja ya kulipishwa kodi ya kichwa kupitia miamala ya kutuma na kupokea pesa ambayo haieleweki huwiyano wake, na serikali ikapokea na kubambikizia wananchi.
Hili bunge badala ya kutoa hoja ya kuwapa nafuu wananchi wamegeuka watafta mbinu ya kuwakomoa wananchi. Ndugai na genge lake ambao hawakuchaguliwa na wananchi wanawakomoa wananchi ili kulipiza kisasi kwa kutowachagua hili halikubaliki.