Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #41
Hawa sasa ndio wamewinDangote Malori yake yoteyanatumia gesi CNG
Wachina wameshaweka CNG pumping station mfano kwa Dar es salaam.moja ya pumping station iko pale Temeke karibu na Tazara kutizamana na soko la Matilda na wanauza hasa
Uber nyingi Dar zinatumia gesi yaani CNG sababu ni cheaper.
Hata Malori mengi ya Dangote hujaza gesi yaani CNG pale kwa wachina Tazara