High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Zipo ukiwa kwenye miji hii Arusha , mwanza dar, mbeya , moro rahisi tuNa spare parts zinapatikana kama za ist,vitz na passo?
Basi ndo umeishia hapo tu?Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma
Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ
A-Class
View attachment 2170259
Bei ya hizo spare parts inafanana na za ist, vitz na passo?Zipo ukiwa kwenye miji hii Arusha , mwanza dar, mbeya , moro rahisi tu
Hahahahahaha vizuri lazima ghalamaUtani wa ngumi huu! Bei ya vipuri vya hio benz ni sawa na vipuri vya crown athlete
Hii gari hauwezi kuiweka level za ist kabisa, acha toyota akae nafasi yake. Hiki chuma CIF yake BF inaanzia 6600 USD, ushuru wake TRA wameweka 10M tz ( huu ushuru wameukadiria na kutokana na CIF ya 5100 USD) Sasa hapo mkuu, si unanunua IST 2 old model unapata pesa ya android radio na pesa ya full tank inabaki[emoji16][emoji16]Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma.
Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ.
A-Class
View attachment 2170259
Hahahahhaha kiongozi SEMA Ina Bei ila kwa upande wa injini vina CC1590 tofauti kidogo na ist 1400Hii gari hauwezi kuiweka level za ist kabisa, acha toyota akae nafasi yake. Hiki chuma CIF yake BF inaanzia 6600 USD, ushuru wake TRA wameweka 10M tz ( huu ushuru wameukadiria na kutokana na CIF ya 5100 USD) Sasa hapo mkuu, si unanunua IST 2 old model unapata pesa ya android radio na pesa ya full tank inabaki[emoji16][emoji16]
Bei yake ndo kipengele, ila ina muonekano flan hvHahahahhaha kiongozi SEMA Ina Bei ila kwa upande wa injini vina CC1590 tofauti kidogo na ist 1400
Watu wananunua ist sio kwa kupenda bali hali ya umasikini hulazim, bei nafuu kuinunua, ulaji mafuta na spare.Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma.
Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ.
A-Class
View attachment 2170259