Badala ya kununua IST, PASSO, VITZ pata gari hii

Badala ya kununua IST, PASSO, VITZ pata gari hii

High Vampire

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,915
Reaction score
2,134
Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma.

Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ.

A-Class

BK892209_31b7bb.jpg
 
Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma.

Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ.

A-Class

View attachment 2170259
Hii gari hauwezi kuiweka level za ist kabisa, acha toyota akae nafasi yake. Hiki chuma CIF yake BF inaanzia 6600 USD, ushuru wake TRA wameweka 10M tz ( huu ushuru wameukadiria na kutokana na CIF ya 5100 USD) Sasa hapo mkuu, si unanunua IST 2 old model unapata pesa ya android radio na pesa ya full tank inabaki[emoji16][emoji16]
 
Hii gari hauwezi kuiweka level za ist kabisa, acha toyota akae nafasi yake. Hiki chuma CIF yake BF inaanzia 6600 USD, ushuru wake TRA wameweka 10M tz ( huu ushuru wameukadiria na kutokana na CIF ya 5100 USD) Sasa hapo mkuu, si unanunua IST 2 old model unapata pesa ya android radio na pesa ya full tank inabaki[emoji16][emoji16]
Hahahahhaha kiongozi SEMA Ina Bei ila kwa upande wa injini vina CC1590 tofauti kidogo na ist 1400
 
Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma.

Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa 2013 MERCEDES-BENZ.

A-Class

View attachment 2170259
Watu wananunua ist sio kwa kupenda bali hali ya umasikini hulazim, bei nafuu kuinunua, ulaji mafuta na spare.

Japo ukipiga hesabu vizuri hapo faida ni ulaji mafuta pekee kwani spare haukauki dukani hivyo ni ghali zaidi
 
Back
Top Bottom