BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Sasa hiyo RR na Landcruiser V8 zinautofauti gani?
Kwamba Air Suspension za V8 utanunua Laki 2 wakati za RR utanunua 3m?
Hapo tatizo limekutana na wewe unayejua unachofanya, shida ni probability ya kupata mtu mwenye uelewa wa nini anachofanya, hizo gari unakuta ni control unit moja imezingua halafu faults zikatoka hata 20, sasa ukikutana na mtu anayebahatisha unaweza kuletewa invoice ya vitu vya kununua inakimbilia CIF ya gari lenyewe....shida zaidi inakuja tuseme limezingua huku umesafiri kuingia nalo mikoani ndani ndaniOkay hata mimi labda niongee from Experience....
Outside kuna watu wengi tu wanafanya diagnosis vizuri kabisa.... Inategemea tu wewe umekutana na nani?
Mfano mdogo tu look at these pictures.
View attachment 2053451
View attachment 2053452
Hizo codes zipo 15 na zote zinaihusu engine.
Ukisummarize unapata vitu kama 11 hivi ambavyo kwa harakaharaka mtu mwingine akipima atakuambia you need to buy all those 11 things.
Na siyo kwamba hizo codes ni history, hapana, sababu ilikuwa ukizifuta zinatoka zote ila ukiendesha gari baada ya muda mfupi zinarudi zote.
Sasa baada ya kuja kufatilia hizo code zote zilikuwa zinasababishwa na 👇👇👇
View attachment 2053461
Na some shorts ndani ya Control box.
After sorting out hayo code pekee iliyobaki ni hiyo ya thermostat, na ilikuwa ni ya kununua nyingine.
Kuna mmoja alikuwa anauza Audi A4 2.8m kwa Sossy Magari, unaambiwa inawaka lakini haisogei, imeua Gearbox[emoji1787]
Wewe ona tu V8 zinatembea humu barabarani.Spea za Toyota kuzipata ni rahisi mno ukilinganisha na range kama sikosei kamanda, na upande wa bei sidhani kama bei zinalingana, ebu fanya tafiti
All in All Range, cruiser and land rover defender nazipenda
Usiguseee kolopo iloWauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha watu watambe na matako ya nyani mjini, hayo makolo kolo ya kijerumani yaone tu yakipita likiwa zima.
watu walisha ona matatizo yao koo huna cha kuwashauli hapo, wakati tako la nyani hati ukiligonga bampa likaisha 2M inatosha na unarudi road upya kwa masosy garaji
Daah si bei ya vanguard kabsa kaliShida sio kuinunua,mzozo ni kuimaintain mkuu,kuna mwana yake ilipata ajali ndogo tu bampa la mbele na taa ya upande mmoja imepasuka kaletewa bili mil32
Kupanga ni kuchagua
Hatari sanaDaah si bei ya vanguard kabsa kali
Tatizo ni kwamba range rover Vogue ya mwaka 2005 ni old model..ila harrier ya 2005 ni new model..
Range za mwaka huo nyingi befoward ni dola elf tisaWauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
Wengi humu V8 wanaziona barabarani tu hawajui nini kinaendelea. Kuna mahali nili supply brake za mbele na nyuma za 2015 VW Touareg bill ilikuwa 480,000/- na hapo hapo kuna mtu aka supply front brake pads tu za V8 nafikiri ilikuwa 2012/14 hivi mkeka wake ni 400,000/- sikuamini.Wewe ona tu V8 zinatembea humu barabarani.
Likiharibika chochote ukaletewa mkeka ndio utajua hujui.
Hii ikikufikia hapa Tz mwezi mmoja tu air suspension zinajibu, moja ni kama 1.2m sasa unahitaji nne. Baada ya miezi mingine miwili compressor ya kupandisha hizo air suspension itajibu utahitaji 1.2m hivi. Kifupi hilo hapo limefika muda wa kubadili vitu kibao, vitakuangukia wewe trust me utalipaki kwasababu sio level yako. Ikiwa level yako utachukua kuanzia 2013 na kuendelea ni new shape na halijala umri sana.Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
Y62 mnyama sanaaa.. kwa 1.2million, hapo sawa kabisaa 😂😂Wengi humu V8 wanaziona barabarani tu hawajui nini kinaendelea. Kuna mahali nili supply brake za mbele na nyuma za 2015 VW Touareg bill ilikuwa 480,000/- na hapo hapo kuna mtu aka supply front brake pads tu za V8 nafikiri ilikuwa 2012/14 hivi mkeka wake ni 400,000/- sikuamini.
Best friend wangu ana Y62 kanunua brand new Nissan hapo, sasa hivi haina hata 20,000km ina wobble ukishika brake, uchunguzi umeonesha ni brake disc zishalika bill 1.2m kila moja na haziko kwenye warranty. Hio gari ikienda service kuacha 800,000-1,200,000 ni kawaida sana.
achukue achinje anaweza pata parts za kuuzaHii ikikufikia hapa Tz mwezi mmoja tu air suspension zinajibu, moja ni kama 1.2m sasa unahitaji nne. Baada ya miezi mingine miwili compressor ya kupandisha hizo air suspension itajibu utahitaji 1.2m hivi. Kifupi hilo hapo limefika muda wa kubadili vitu kibao, vitakuangukia wewe trust me utalipaki kwasababu sio level yako. Ikiwa level yako utachukua kuanzia 2013 na kuendelea ni new shape na halijala umri sana.
Kwanini air suspension za gari ndogo ni expensive hivyo? Pia zinaonekana sio durable!!Wengi humu V8 wanaziona barabarani tu hawajui nini kinaendelea. Kuna mahali nili supply brake za mbele na nyuma za 2015 VW Touareg bill ilikuwa 480,000/- na hapo hapo kuna mtu aka supply front brake pads tu za V8 nafikiri ilikuwa 2012/14 hivi mkeka wake ni 400,000/- sikuamini.
Best friend wangu ana Y62 kanunua brand new Nissan hapo, sasa hivi haina hata 20,000km ina wobble ukishika brake, uchunguzi umeonesha ni brake disc zishalika bill 1.2m kila moja na haziko kwenye warranty. Hio gari ikienda service kuacha 800,000-1,200,000 ni kawaida sana.
Xmas treeTena siku ukiliwasha ukakuta lipo hivi, ndio utajua hujui 🤣View attachment 2053007
Sasa meku kama Ujerumani unaiita dunia ya tatu, sisi tunaolazimishwa kuwa sisiemu pekee ndiyo inayoweza kuongoza nchi, sisi ambao tupo na Gaidi Mbowe, si tutaitwa dunia ya 37...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji85][emoji85]Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937