franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,475
Ya Moto sana hiiWauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
Acha urongo. Mm nilishawahi kununua gari ya CIF 5500 USD (Xmass offer) kwa CIF 2,200 USD mwaka wa pili huu ni service ya kumwaga oil na majuzi nimebadilisha break pads tu. Berri bado Ile Ile iliyotoka Japan.Natoa siri mkubwa gari ukiona lilitoka na bei kubwaaa afu likadepreciate haraka sana likimbie hilo gari....
Japo wahuni wa tako la nyani hawatoweka rekodi za ukoo kama mwenye vogue
Ila mwenye vogue ataweka rekodi
Kwenye ukoo
Garage
Na sheli
Ah watu wa matako ya nyani wanapita kimyakimya hapa wanakuchora tu
Ishawahi kunitokea hii siku moja, nusu nianze kuokota makopoTena siku ukiliwasha ukakuta lipo hivi, ndio utajua hujui [emoji1787]View attachment 2053007
Vieite au sio,Hakuna kama Land cruiser V8 kamanda, mjapan achananae aise
Vieite au sio,
Daah Mungu nisaidie nimiliki IST tu mwaka huu, amen.
V8 Ni baraa
Heshima yake inaanzia kwa malipo ya fundi ya kila week😅Sema range HESHIMA
Hahahahhaha kibaya zaidi ni gari ya mwaka 2005 kula mil.32 si bora ununue harrier tu!😅Shida sio kuinunua,mzozo ni kuimaintain mkuu,kuna mwana yake ilipata ajali ndogo tu bampa la mbele na taa ya upande mmoja imepasuka kaletewa bili mil32
Kupanga ni kuchagua
Hahahahahahahahaha kmmmk walaiKama huna kipato cha kutosha JIANDAE Kulala masaa 2 Kazi masaa 10
Masaa yaliyobaki ni kuwaza jinsi ya kuzuia taa za dashboard za range rover zisiwake na kuzima zinazowaka huku ukilinda masega yasitolewe.
Running costs ndio kimbembeWauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
Cc za toyota hazitishi kama za mzungu😅Toyota gani za petrol zina Cc za kutosha na zipo nyingi?
Namwita Mshana Jr alipigie manyanga yakeTena siku ukiliwasha ukakuta lipo hivi, ndio utajua hujui 🤣View attachment 2053007
Kwanini CC za mzungu ni kubwa sana na consumption kidogo? Mjepu anashindwa nini?Cc za toyota hazitishi kama za mzungu😅
Sio tu ni gharama, harrier ikila 2M inatulia kabisa😅 mwaka mzima au zaidi na vile ni gari ya juu juu sio swala. We ni mafuta tu!Harrier ni nyingi sababu RR ni gharama kumaintain. Hakuna sababu nyingine.
Mafuta kuna Toyota yana cc za kutosha na yapo.
Mzungu ame complicate mfumo sanaKwanini CC za mzungu ni kubwa sana na consumption kidogo? Mjepu anashindwa nini?
V8 zile wanaburuza madereva wa serikali sababu service yake ni ya kuandikia ofisi tu ila mtu binafsi ukilipewa ndani ya miezi tu unaweza ukalipaki jumla😅 kama milion 4-6 kwa mwezi huwezi kuzishika.Wewe ona tu V8 zinatembea humu barabarani.
Likiharibika chochote ukaletewa mkeka ndio utajua hujui.
Sio tu ni gharama, harrier ikila 2M inatulia kabisa😅 mwaka mzima au zaidi na vile ni gari ya juu juu sio swala. We ni mafuta tu!
Range Rover itakula 2M baada ya week 2 tena itataka ile laki 6 hujakaa sawa italilia 1.5M utaipa ikienda enda mwezi inakulilia 1M tena utaipa ikikaa week tatu inakula laki 8. Huu mchezo unaweza kufanywa na matajiri tu ila kwa mtu anayetegemea mshahara gari inaweza kumfilisi. Ndio sababu watu wanafia kwa mjapani.
Mie nimesimamia service ya Surf new model kuanzia dukani mpaka kwa mafundi. Ku replace coils bushes na new shockups yani fully suspension parts mbele na nyuma imekula 4.5M straight😅 vifaa vimefika 4M vyote na ufundi na mambo ya allignment sijui camber ndio inagonga 4.5M na hapo ni original parts za Toyota.Wengi humu V8 wanaziona barabarani tu hawajui nini kinaendelea. Kuna mahali nili supply brake za mbele na nyuma za 2015 VW Touareg bill ilikuwa 480,000/- na hapo hapo kuna mtu aka supply front brake pads tu za V8 nafikiri ilikuwa 2012/14 hivi mkeka wake ni 400,000/- sikuamini.
Best friend wangu ana Y62 kanunua brand new Nissan hapo, sasa hivi haina hata 20,000km ina wobble ukishika brake, uchunguzi umeonesha ni brake disc zishalika bill 1.2m kila moja na haziko kwenye warranty. Hio gari ikienda service kuacha 800,000-1,200,000 ni kawaida sana.