Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
nimecheka hitimisho lako😂Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
kodi 14m hahahaahaWauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).
sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue
View attachment 2052937
Zinazidi kushukakodi 14m hahahaaha
Watu wanazo na maisha yanaenda tu kikubwa kama umeagiza linakuwa halina shida mbovu no zile za kununua kwa watuMimi siku nikiwa na pesa nitachukuwa tu Range,japo wataalamu wamepinga,hili unanunua kwa ajili ya kuli drive weekend tu,siku za kawaida unakuwa na ka IST
Mimi siku nikiwa na pesa nitachukuwa tu Range,japo wataalamu wamepinga,hili unanunua kwa ajili ya kuli drive weekend tu,siku za kawaida unakuwa na ka IST
Hapo pia upo sahihi Mkuu,lengo lilikuwa kubana budget ya mafuta,nasikia Lina cc zaidi ya elfu nneKwa hiyo unatumia hela nyingi kwenye gari ambalo unalienjoy weekend tu? Ni heri ulitumie tu mpaka litakapokufa hata kama ni kiaka mitano tu
Ndio Mkuu,nimeona kulitoa UK mpaka hapa Ni kwenye Tsh 24 millions,Bado Kodi zetu sasaWatu wanazo na maisha yanaenda tu kikubwa kama umeagiza linakuwa halina shida mbovu no zile za kununua kwa watu
Befoward mpaka bandarini zinaanzia 12mNdio Mkuu,nimeona kulitoa UK mpaka hapa Ni kwenye Tsh 24 millions,Bado Kodi zetu sasa