Badala ya kununua Toyota Harrier nunua hii gari

Badala ya kununua Toyota Harrier nunua hii gari

Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).

sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue

View attachment 2052937
nimecheka hitimisho lako😂
 
Wauzaji WA magari wanaangalia demand and supply ya bidhaa saizi Toyota harrier unaweza inunua mpaka Kwa milioni 32 na huku haiko stable Sana barabarani tofauti na gari za dunia ya tatu(mjerumani).

sasa kama hivyo Bora ukanunua Range Rover VOGUE ya mwaka 2005 huku Kodi yake ikiwa kama 14m ukijumlisha na za kutokea japani unafika mapaka 26m huku unamiliki mnyama WA maana ambako barabarani uko peke yako unatoa hata nuksi za ukoo [emoji23][emoji23][emoji23] kuwa kwenye ukoo WA Fulani Fulani amewahi kumiliki range rover Vogue

View attachment 2052937
kodi 14m hahahaaha
 
Mimi siku nikiwa na pesa nitachukuwa tu Range,japo wataalamu wamepinga,hili unanunua kwa ajili ya kuli drive weekend tu,siku za kawaida unakuwa na ka IST
 
Mimi siku nikiwa na pesa nitachukuwa tu Range,japo wataalamu wamepinga,hili unanunua kwa ajili ya kuli drive weekend tu,siku za kawaida unakuwa na ka IST
Watu wanazo na maisha yanaenda tu kikubwa kama umeagiza linakuwa halina shida mbovu no zile za kununua kwa watu
 
Mimi siku nikiwa na pesa nitachukuwa tu Range,japo wataalamu wamepinga,hili unanunua kwa ajili ya kuli drive weekend tu,siku za kawaida unakuwa na ka IST

Kwa hiyo unatumia hela nyingi kwenye gari ambalo unalienjoy weekend tu? Ni heri ulitumie tu mpaka litakapokufa hata kama ni kiaka mitano tu
 
Kwa hiyo unatumia hela nyingi kwenye gari ambalo unalienjoy weekend tu? Ni heri ulitumie tu mpaka litakapokufa hata kama ni kiaka mitano tu
Hapo pia upo sahihi Mkuu,lengo lilikuwa kubana budget ya mafuta,nasikia Lina cc zaidi ya elfu nne
 
Watu wanazo na maisha yanaenda tu kikubwa kama umeagiza linakuwa halina shida mbovu no zile za kununua kwa watu
Ndio Mkuu,nimeona kulitoa UK mpaka hapa Ni kwenye Tsh 24 millions,Bado Kodi zetu sasa
 
Back
Top Bottom