Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Taifa hili kuna eneo muhimu linafumbiwa macho hasa taarifa za Mauzo ya Bidhaa Nje ya Nchi.
Ni vema Serikali hasa Wizara ya viwanda na biashara na msemaji wa ikulu pamoja na yule wa Serikali, waanze mara moja kuweka takwimu za Mauzo na pesa za kigeni kwenye mazao na bidhaa mbalimbali
Kama ilivyo kwenye goods classification ya imports vivyo hivyo hata kwa exports iwekwe bayana kwenye taarifa zao.
Na hii itasaidia wananchi pamoja na wasomi wachumi kuhoji, kushauri, kuhimiza, kutia hamasa, kuibua vikwazo, na mengineyo ikiwa sifa, na mikakati.
Tupate takwimu za bidhaa za viwandani na mazao ya aina mbalimbali mfano. Mauzo ya
1. Kahawa
2.Pamba au nguo vitenge, kanga, vijola etc
3. Korosho
4. Mchele
5. Ufuta
6. Alizeti
7. Choroko
8. Mbaazi
9. Zao la Chai
10. Zao la mpira (rubber)
11. Mahindi
12. Mbaazi
,13. Maharagwe
14. Samaki na Dagaa
15. Cocoa
16. Mawese
17. Parachichi na jamii za matunda mfano Maembe, Nanasi, Tikiti maji, Machungwa
18. Tangawizi na jamii za viungo vya mapishi
19. Karafuu
20. Zao la hiliki
21. Madini
21.Mazao ya misitu miti, mbao, Asali na etc
22. Mauzo ya nyama mfano huko Comoro na etc
23. Mauzo ya vitunguu, nyanya etc
23. Mauzo ya karoti na Maua
Naomba kuwasilisha
Ntarudi baadae kuendelea na nondo
Wadiz
Ni vema Serikali hasa Wizara ya viwanda na biashara na msemaji wa ikulu pamoja na yule wa Serikali, waanze mara moja kuweka takwimu za Mauzo na pesa za kigeni kwenye mazao na bidhaa mbalimbali
Kama ilivyo kwenye goods classification ya imports vivyo hivyo hata kwa exports iwekwe bayana kwenye taarifa zao.
Na hii itasaidia wananchi pamoja na wasomi wachumi kuhoji, kushauri, kuhimiza, kutia hamasa, kuibua vikwazo, na mengineyo ikiwa sifa, na mikakati.
Tupate takwimu za bidhaa za viwandani na mazao ya aina mbalimbali mfano. Mauzo ya
1. Kahawa
2.Pamba au nguo vitenge, kanga, vijola etc
3. Korosho
4. Mchele
5. Ufuta
6. Alizeti
7. Choroko
8. Mbaazi
9. Zao la Chai
10. Zao la mpira (rubber)
11. Mahindi
12. Mbaazi
,13. Maharagwe
14. Samaki na Dagaa
15. Cocoa
16. Mawese
17. Parachichi na jamii za matunda mfano Maembe, Nanasi, Tikiti maji, Machungwa
18. Tangawizi na jamii za viungo vya mapishi
19. Karafuu
20. Zao la hiliki
21. Madini
21.Mazao ya misitu miti, mbao, Asali na etc
22. Mauzo ya nyama mfano huko Comoro na etc
23. Mauzo ya vitunguu, nyanya etc
23. Mauzo ya karoti na Maua
Naomba kuwasilisha
Ntarudi baadae kuendelea na nondo
Wadiz