Badala ya Makonda wa Kike, SERIKALI ingelazimisha "School bus" zifungwe CCTV cameras

Badala ya Makonda wa Kike, SERIKALI ingelazimisha "School bus" zifungwe CCTV cameras

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Nimesikia Dada Dorothy Gwajima katangaza "School buses" ziwe na Makonda wa kike Kwa kile anachohofia watoto wetu kufanyiwa michezo michafu, sio idea mbaya ila Mimi kama mdau ningeshauri yafungwe CCTV cameras ambazo Zina uwezo wa kurekodi matukio yote.

Hawa Makonda wa kike tunawaaminije? Na tukija kupata case nyingine tutaweka Makonda Wazee??

Nashauri school bus zifungwe CCTV cameras, huyu ni shahidi mwaminifu. Iwe ni mandatory, ni nafuu sana hii mifumo na hata Mkuu wa shule anaweza ku-monitor from his/her mobile phone.
Nawasilisha
 
Yote mema!
hata wakiweka kondakta 2 na askari 2 yafaa pia

Tz tuko vizuri
Tz tunaweza.
Mungu ibariki Tanzania
 
CCTV zitafanikisha vipi kitendo cha uhalifu kutokea? CCTV ni ushahidi tu kwamba tukio limefanywa na muhusika.

Kwa hatua hiyo ya kufanya makondakta na madereva wa kike kuhusika na school bus nampongeza sana Dkt.Gwajima ,she is genius and fit for every ministry.

Sio rahisi mwanamke kulawiti ama kubaka
 
Nimesikia Dada Dorothy Gwajima katangaza "School buses" ziwe na Makonda wa kike Kwa kile anachohofia watoto wetu kufanyiwa michezo michafu, sio idea mbaya ila Mimi kama mdau ningeshauri yafungwe CCTV cameras ambazo Zina uwezo wa kurekodi matukio yote.

Hawa Makonda wa kike tunawaaminije? Na tukija kupata case nyingine tutaweka Makonda Wazee??

Nashauri school bus zifungwe CCTV cameras, huyu ni shahidi mwaminifu. Iwe ni mandatory, ni nafuu sana hii mifumo na hata Mkuu wa shule anaweza ku-monitor from his/her mobile phone.
Nawasilisha

Siyo mabasi tu bali hata kunakolalamikiwa unyanyasaji mwingine au rushwa kama polisi, mipakani, kwenye barrier, mipakani nk.
 
Nimesikia Dada Dorothy Gwajima katangaza "School buses" ziwe na Makonda wa kike Kwa kile anachohofia watoto wetu kufanyiwa michezo michafu, sio idea mbaya ila Mimi kama mdau ningeshauri yafungwe CCTV cameras ambazo Zina uwezo wa kurekodi matukio yote.

Hawa Makonda wa kike tunawaaminije? Na tukija kupata case nyingine tutaweka Makonda Wazee??

Nashauri school bus zifungwe CCTV cameras, huyu ni shahidi mwaminifu. Iwe ni mandatory, ni nafuu sana hii mifumo na hata Mkuu wa shule anaweza ku-monitor from his/her mobile phone.
Nawasilisha
Waziri yuko sahihi,Kuwa na Makonda wa kike inalenga kuzuia tukio kufanyika, kufunga CCTv hakuzuii tukio kufanyika bali kurekodi ushahidi,halafu CCtv hata ikifungwa sio rahisi kujua kama inafanya kazi na bado inaweza kuchezewa pia,labda vyote viwili vifanyike
 
Hivi lakini hao watu walitamani nini kwa huyo mtoto mpaka kumfanyia hivyo!!!? Mungu aepushie mbali tu kwa mwanangu maana nitakacho fanya ... Kitaelezea zaidi uchungu wangu....... Kwahiyo watuhumiwa wapo rumande wakisubiria upepelezi kukamilika!!!?
 
Waziri yuko sahihi,Kuwa na Makonda wa kike inalenga kuzuia tukio kufanyika, kufunga CCTv hakuzuii tukio kufanyika bali kurekodi ushahidi,halafu CCtv hata ikifungwa sio rahisi kujua kama inafanya kazi na bado inaweza kuchezewa pia,labda vyote viwili vifanyike
Ubishi tu
 
Back
Top Bottom