Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yes!Shule zinazojielewa huwa zina walimu wa kike kila bus
YesShule zinazojielewa huwa zina walimu wa kike kila bus
Sio to the point ya kulawiti wa kiumeMaadili hata wanawake hawana pia CCTV 📷 tu ingesaidia
Nimesikia Dada Dorothy Gwajima katangaza "School buses" ziwe na Makonda wa kike Kwa kile anachohofia watoto wetu kufanyiwa michezo michafu, sio idea mbaya ila Mimi kama mdau ningeshauri yafungwe CCTV cameras ambazo Zina uwezo wa kurekodi matukio yote.
Hawa Makonda wa kike tunawaaminije? Na tukija kupata case nyingine tutaweka Makonda Wazee??
Nashauri school bus zifungwe CCTV cameras, huyu ni shahidi mwaminifu. Iwe ni mandatory, ni nafuu sana hii mifumo na hata Mkuu wa shule anaweza ku-monitor from his/her mobile phone.
Nawasilisha
Na Walimu ndo huwa wa Mwisho kupelekwa Makwao baada ya Wanafunzi wote kushuka!Shule zinazojielewa huwa zina walimu wa kike kila bus
Waziri yuko sahihi,Kuwa na Makonda wa kike inalenga kuzuia tukio kufanyika, kufunga CCTv hakuzuii tukio kufanyika bali kurekodi ushahidi,halafu CCtv hata ikifungwa sio rahisi kujua kama inafanya kazi na bado inaweza kuchezewa pia,labda vyote viwili vifanyikeNimesikia Dada Dorothy Gwajima katangaza "School buses" ziwe na Makonda wa kike Kwa kile anachohofia watoto wetu kufanyiwa michezo michafu, sio idea mbaya ila Mimi kama mdau ningeshauri yafungwe CCTV cameras ambazo Zina uwezo wa kurekodi matukio yote.
Hawa Makonda wa kike tunawaaminije? Na tukija kupata case nyingine tutaweka Makonda Wazee??
Nashauri school bus zifungwe CCTV cameras, huyu ni shahidi mwaminifu. Iwe ni mandatory, ni nafuu sana hii mifumo na hata Mkuu wa shule anaweza ku-monitor from his/her mobile phone.
Nawasilisha
Ubishi tuWaziri yuko sahihi,Kuwa na Makonda wa kike inalenga kuzuia tukio kufanyika, kufunga CCTv hakuzuii tukio kufanyika bali kurekodi ushahidi,halafu CCtv hata ikifungwa sio rahisi kujua kama inafanya kazi na bado inaweza kuchezewa pia,labda vyote viwili vifanyike
Halafu Baba ndio awe anamuandaa Mtoto, nitakua Kila siku nasubiri school bus na Mwanangu au nachukua namba ya dereva kabisa