Badala ya watu kulalamikia uzembe wana ridhika na uzembe

Badala ya watu kulalamikia uzembe wana ridhika na uzembe

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kuna ndugu zangu wasomi kabisa lakini walinishangaza. Nilihojo inakuwaje maji yanatoka machafu lakini wananchi hawalalamiki? Wakasema ni bora sisi tuna maji hayo machafu wenzetu hawana maji kabisa.

Wengine mnaweza msikielewe lakini hapo ndipo kuna tatizo kubwa. Hakuna sababu ya msingi ya kuwa na maji machafu uwezo na utaratibu wa kusafisha majo upo. Na ni sheria maji yanatakiwa kuwa masafi na kama sehemu hazina maji kabisa sio sababu ya kukubali maji machafu sehemu nyingine. Au mfano mwingine sehemu zenye lami iwe ya kiwango huwezi kukubali kiwango cha chini kwa kisingizio kwamba sehemu nyingine hawana lami

Badala ya watu kulalamikia uzembe wana ridhika na uzembe.
 
Kuna ndugu zangu wasomi kabisa lakini walinishangaza. Nilihojo inakuwaje maji yanatoka machafu lakini wananchi hawalalamiki? Wakasema ni bora sisi tuna maji hayo machafu wenzetu hawana maji kabisa.

Wengine mnaweza msikielewe lakini hapo ndipo kuna tatizo kubwa. Hakuna sababu ya msingi ya kuwa na maji machafu uwezo na utaratibu wa kusafisha majo upo. Na ni sheria maji yanatakiwa kuwa masafi na kama sehemu hazina maji kabisa sio sababu ya kukubali maji machafu sehemu nyingine. Au mfano mwingine sehemu zenye lami iwe ya kiwango huwezi kukubali kiwango cha chini kwa kisingizio kwamba sehemu nyingine hawana lami

Badala ya watu kulalamikia uzembe wana ridhika na uzembe.
Je, kwenu ulikotoka yapo hayo majl yapo.
 
Ukitaka kupata presha na magonjwa ya moyo mapema fuatilia hayo mambo. Ukifuatilia unaweza kukatiwa maji siku 10 wakikuambia wanatengeneza chujio, siku hizo zikiisha na maji hamna ukifuatilia utaambuwa pampu imeungua tumeagiza ingine India.
Funzo:Rizika na unachokipata
 
Back
Top Bottom