- Thread starter
- #21
Nilikuwa sijui kama kuna za kunde pia, lakini nilishawahi kula mahali zilikuwa tamu kuliko kawaida nadhani ndiyo hizo za kunde.
Yeah ni hizo...tena zile wanaopika mama zetu za kutwanga hizo kunde tamu zaidi....
Ila siku hizi mambo ya technolojia haya yanatufanya tuwe wavivu....
Mie chapati za maji nkiwa na haraka zangu nachanganya kwa handmixer lol....