Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,288
- 791
yaani nimecheka mpaka machozi yananitoka! Yaani hayo maandishi yalivyo na makorongo! duh hii kali sana. sasa itakuwaje boss akiingia?
Hapo utata! utamwambia kibodi ina virus!! lol waaahahahaaa! teh teh