Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi anayekupenda atakutesa?
hapo ss mmh. hakunaga.THis is a valid question. Inawezekana anapima maji. Kama na wewe unampenda, na unadhani huwezi kumwacha, why do not you go and tell him/her ukweli wa moyo wako? Ila una hatari ya kuwa mtumwa wa mapenzi, utandeshwa kama gari bovu.
Huwa naamini kuwa love ni give and take: sasa zikianza pause tena!
hivi anayekupenda atakutesa?
THis is a valid question. Inawezekana anapima maji. Kama na wewe unampenda, na unadhani huwezi kumwacha, why do not you go and tell him/her ukweli wa moyo wako? Ila una hatari ya kuwa mtumwa wa mapenzi, utandeshwa kama gari bovu.
Huwa naamini kuwa love ni give and take: sasa zikianza pause tena!
hivi kwanini mtu unapendwa alaf unakua na pozi? namis meseji zake, namis kis zake, namis kilakitu,najua kama ananipenda lakin kwa nn ananitesa sana
akitaka kubadilika atabadilika but kumbadilisha mtu ni vigumu endapo yeye mwenyewe ataki kubadilika. tafuta pengine mana true love ina safari ndefu, milima na mabonde.naombeni mnishaur nimbadilishe,maana kama ni hivyo nitaachana na wengi.yani apa najuta kupenda,i wish kama angekua humu hazisome hizi msg zangu.Maana hata nikijalibu ku mface anakua mkali yani kama hajui tatizo linalonisibu
hivi kwanini mtu unapendwa alaf unakua na pozi? namis meseji zake, namis kis zake, namis kilakitu,najua kama ananipenda lakin kwa nn ananitesa sana
naombeni mnishaur nimbadilishe,maana kama ni hivyo nitaachana na wengi.yani apa najuta kupenda,i wish kama angekua humu hazisome hizi msg zangu.Maana hata nikijalibu ku mface anakua mkali yani kama hajui tatizo linalonisibu