THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,166
- 175
Dah! Pole best hata mimi wangu ananfanyia hivyo coz nahis labda kwa kuwa nmejionyesha kwake nampenda sana.ila yeye wa kwangu hapend wa2 wajue kwamba 2ko in love,hv kwel ananpenda?
naombeni mnishaur nimbadilishe,maana kama ni hivyo nitaachana na wengi.yani apa najuta kupenda,i wish kama angekua humu hazisome hizi msg zangu.Maana hata nikijalibu ku mface anakua mkali yani kama hajui tatizo linalonisibu