Bila shaka wakati wa kutakiwa kutoa kafara kubwa umefika.Hakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
Katoa santuri mbili zote hazijaenda mjini kivileee kama kawaida wonderful enough amedandia ngoma ya jux ya enjoy wakati zake zimeganda tu nakujidanganyia trending za YouTube
Zamani huyu kijana nyimbo zake,ziliimbika sana mtaaani kwasasa mnaliona hilo huko kwenu?
Lile,biti alilopiga la kukaa trending ilikua ni indicator bosss amefulia
nyimbo za mond nazikilizaga za kitambo tu izi zingine chache sanaHakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
Katoa santuri mbili zote hazijaenda mjini kivileee kama kawaida wonderful enough amedandia ngoma ya jux ya enjoy wakati zake zimeganda tu nakujidanganyia trending za YouTube
Zamani huyu kijana nyimbo zake,ziliimbika sana mtaaani kwasasa mnaliona hilo huko kwenu?
Lile,biti alilopiga la kukaa trending ilikua ni indicator bosss amefulia
jogoo wake alikula punje ngap?Mazishi ni lini na wapi?
nikikumbuka promotion. ya nyimbo kama ENEKA kweli utofauti upoHata yeye anauona, inashangaza sana katoa wimbo hata chawa wake humu hawajaupost popote na kumwaga sifa kedekede
Hebu tuwekee hilo bit la Jux unalodai kadqndia tulisikieHakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
Katoa santuri mbili zote hazijaenda mjini kivileee kama kawaida wonderful enough amedandia ngoma ya jux ya enjoy wakati zake zimeganda tu nakujidanganyia trending za YouTube
Zamani huyu kijana nyimbo zake,ziliimbika sana mtaaani kwasasa mnaliona hilo huko kwenu?
Lile,biti alilopiga la kukaa trending ilikua ni indicator bosss amefulia
Hakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
Katoa santuri mbili zote hazijaenda mjini kivileee kama kawaida wonderful enough amedandia ngoma ya jux ya enjoy wakati zake zimeganda tu nakujidanganyia trending za YouTube
Zamani huyu kijana nyimbo zake,ziliimbika sana mtaaani kwasasa mnaliona hilo huko kwenu?
Lile,biti alilopiga la kukaa trending ilikua ni indicator bosss amefulia
Una safari ndefu sana katika kuujua muziki, nyimbo kuwa hitsong si lazima isikike mtaani tu. Mapopo ya mavokali uliwahi kuisikia mtaani au nyimbo ilianza kutembea kwenye digital platforms?Hakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
Katoa santuri mbili zote hazijaenda mjini kivileee kama kawaida wonderful enough amedandia ngoma ya jux ya enjoy wakati zake zimeganda tu nakujidanganyia trending za YouTube
Zamani huyu kijana nyimbo zake,ziliimbika sana mtaaani kwasasa mnaliona hilo huko kwenu?
Lile,biti alilopiga la kukaa trending ilikua ni indicator bosss amefulia
Kwa hiyo ww unadhani ni nguvu ya Juma pekee Alikiba anavyo angaika kumtoa trending? Hizo yatapita na zuwena nenda katafute video zenye mauzo mengi huu mwaka kuliko hizo yatapita na zuwena. Au tafuta ngoma ya Jux ambayo imewahi kufanya vzr kuzidi hii aliyomshirikisha Mond. Wasanii wengi bongo wanahitaji support ya Mond ndio watoboe ila Mond haitaji support ya mtu yeyote ni yy mashabiki zake tu.Hata mtu akiwa anafirisika anakuwa hivyo,unaweza ukawa na hela bank unabishana nazo hizi haziishi,ukija kushtuka akaunt inasoma 0!
Alivyoanza tu mikwara ya kukaa trending miezi 6 nikajua hapa tayari mwendo ameumaliza,sasa kabaki kuiganda ngoma ya Jux na zake mbili haziongelei kabisa.
Na hii ya kukaa kimya ni uongo,kwani zuwena na yatapita zimetoka lini?
Au labda zilikua ngoma za wasanii wa msumbijiWasanii gani hao walikua kimya maana kina marioo, harmonize, alikiba, jay melody hadi chino wana man walikua wanaendelea kushusha ngoma.