Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
🤣🤣🤣Tionyeshe kidogoIla kawimbo ka jux kazuri "Enjoy""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Tionyeshe kidogoIla kawimbo ka jux kazuri "Enjoy""
KIJANA KWA SASA ANAFANYA PROMOSHENI YA MAPAPAIHakuna msaniii hapa Bongo alikua anajua ku promote kazi zake kama Diamond lakni mmesanuka recently boss kama ana sanda?
ShiloleDiamond Ku drop sio ajabu..
Ajabu ni kukosa msanii mwingine level ya Diamond...
Wenzetu Davido Ka drop Wana burna boy...Wana rema na wengineo...
Sisi Diamond akipotea tunao wengine wako wapi?au Chino ndo superstar mpya??
🤣🤣Shilole
Halafu na yeye alitoa ngoma mbili zuwena na yatapita ila nashangaa anasema alikaa kimya mda mrefu. Ngoma zake mpya hazisikiki kaamua kua chawa wa jux [emoji2]Au labda zilikua ngoma za wasanii wa msumbiji
Kwa hali ilivyo nadhani Diamond bado yupo sana kwenye hili game la mziki TZ. Maana msela kwasasa ni Topic inayojadiliwa kila Kona na ni navyoona Jamaa wanajifanya kumchukia ili wapate kiki na wamefanikiwa waliojaribu.Huyu mjomba kuna watu hawampendi sijui kwasababu gani. Maana sio humu tu, huko kitaa nina washkaji wanamchukia kinoma. Kuna siku kijiweni kuna mtu kaanzisha story za Diamond, mwingine akadakia akasema, malaya tu yule. Na wengine waliongezea madongo mi nikabaki kucheka tu.
Huu ndio uhalisia sababu ukizungumzia kukopy hyo ngoma hizi ni projo tu maana ukiangalia kabla ya kuirudia hii ngoma na chike aliitoa ya kwake mwenyewe lkn kwakuwa haikwenda mji ulikuwa kimya huu. #Bongonyosofanikiwa jitume fanikiwa tukusimange na usijitume lete uvivu uone km utabaki salamaKwa hali ilivyo nadhani Diamond bado yupo sana kwenye hili game la mziki TZ. Maana msela kwasasa ni Topic inayojadiliwa kila Kona na ni navyoona Jamaa wanajifanya kumchukia ili wapate kiki na wamefanikiwa waliojaribu.
Toka 2010 - Nenda kamwambie2013 - 2023 ni karibu miaka 10, amedominate game kwa miaka yote hiyo, amejitahidi sana. Ila ndio hivyo aachie kijiti wengine
Kazuri mno....Ila kawimbo ka jux kazuri "Enjoy""
Kabisa...Hakuna mahali Bongo Flavour inamdai....Hata kama! Diamond kwenye game hatumdai chochote now day anatufanyia Fair tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Halafu na yeye alitoa ngoma mbili zuwena na yatapita ila nashangaa anasema alikaa kimya mda mrefu. Ngoma zake mpya hazisikiki kaamua kua chawa wa jux [emoji2]
Ni hatari haaahahaKazuri mno....
Ile Chorus na kile kipande alichoimba Dai ni balaa...
Acha niiiinjoy....Kirikkkkkkkkk[emoji445]
Yeah, ila mimi niliongelea kuanzia number 1 maana ndiyo iliyobadili kila kitu.Toka 2010 - Nenda kamwambie