Hii ni rescue Helicopter aina ya H225M Super Cougar inauwezo wa kubeba Wanajeshi au kikosi cha waokoaji wasiopungua 28 na kubeba mizigo ya uzito wa 4,750kg na speed ya angalau 324 km/h.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mshana hawa jamaa,wataanza kukusaka unajua.[emoji28][emoji28][emoji28]
Agapiti Kimaro na Catherine Mathei ambao ni mke na mume ni miongoni mwa waliofariki katika ajali iliyotokea wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, wanandoa hao mume alikuwa mwalimu na mke alikuwa nesi na wameacha mtoto miezi 8Hizo sentence tatu za mwisho zinanifanya nione ile sinema yetu inaendelea, rip kwa waliofariki ila why walikua wamepakizwa kwenye Ambulance [emoji603]?,hii sio gari ya kubeba abiria, na DC wangu Mr. Batenga(mmmmm wale wa matofali ya President Nyerere?)kuwa hakuna bahati mbaya hapo, head on collision [emoji95] kuna dereva alihama kutoka upande wake na kuendesha asikoruhusiwa, why usiseme kama ilivyo?,,golden rule ya udereva Tanzania, PLS KEEP LEFT
Mkuu Mshana Jr umeongea point moja ya maana sana, ila wasiokuelewa hawawezi kukuelewa kamweMpeni heshima na mtaji wa kukuza kazi zake.
Heshima itunze ndoto yake.
Naona kama mnampeleka speed sana shujaa wetu.
Atakuja sema YES kwa vitu alivyo takiwa kusema NO
Cross multiplicationHii style inaitwaje? Mbona sijawahi kuiona?[emoji23]View attachment 2410067
Ilikuwa inanamsubiri pm akashuhudie vifo.Hii ni rescue Helicopter aina ya H225M Super Cougar inauwezo wa kubeba Wanajeshi au kikosi cha waokoaji wasiopungua 28 na kubeba mizigo ya uzito wa 4,750kg na speed ya angalau 324 km/h.
Kwa nini ilimbeba Waziri Mkuu jana kwenda Bukoba badala ya kubeba Wataalam sote atujui[emoji24].
Na pia ingeweza kuiinua ndege upande wa nyuma na watu wakatolewa kwa wakatiyaani kwa msaada wa maji hii helcopter ingeweza kuiinua ndege walau kwa kiwango fulani then watu watolewe kwa ule upande wa nyuma ambao tayari ulikua uko juu na mlango unaonekanaView attachment 2410171
Hiyo ni divai shemeji.
Muache mtumishi amwagilie moyo jamani😂Lakini shem hii sio ile takatifu bali ni ile takakitu
Kama unafikiri Dunia hii umeona kila kitu, hapana. Ona hii;
Kituo kifuatacho ni bungeniView attachment 2410076