Bado Kenya na Uhuru Kenyatta ni baba wa demokrasia Afrika Mashariki?

Hakuna Baba wa Demokrasia wala nini
Kenya kuna Ombwe la mauaji ya Wanasiasa wanao kinzana na Msimamo wa Uhuru
lakini kwa kuwa Watanzania tuna Tabia ya Kufuata mkumbo na ushabiki wa kijinga kizuri cha jirani tu
hili ningumu kuliweka wazi.
Unanikosha sana
 
Mimi naamini, lile jinamizi la utawala mbovu bado limepiga kambi Afrika Mashariki na inavyoonekana litatutesa kwa miaka kadhaa ijayo.
 
Halafu hiyo Namba ya Simu ya nini humu? Au mambo ya uteuzi?
 
Jambo lililonikera ni kubadili sheria ya uchaguzi .....ili tu mahakama isiwe na power ya kufutilia mbali uchaguzi utakapokuwa wa magumashi kama TZ
 
Wewe ni sawa na mwanangu wa kumzaa kwa hiyo ushauri wako wa kiuanasesere unawafaa tu watoto wa rika lako!
Mimi nilikupa ushauri kwa nia njema, kwasababu yule bint Zuwena inaonekana wazi alikuwa anakuzidi kwa mbali sana katika uwezo wa kufikiri pamoja na umri wako kuwa mkubwa, ila kama umeukataa ushauri wangu kwa sababu tu mimi ni mdogo kwako, bila kujali kama ushauri wangu una maana au hapana, ni dalili ya wazi kwamba mkeo na watoto wako nyumbani wanateseka sana kwa kuwa na baba kichwa ngumu kama wewe.
 
Hakuna Baba wa Demokrasia wala nini
Kenya kuna Ombwe la mauaji ya Wanasiasa wanao kinzana na Msimamo wa Uhuru
lakini kwa kuwa Watanzania tuna Tabia ya Kufuata mkumbo na ushabiki wa kijinga kizuri cha jirani tu
hili ningumu kuliweka wazi.

kaka waambie watanzania waache kufata mkumbo kwa kua et magu anataja odinga nani asie jua kua uhuru ana kisea
 
Misukule ya ccm mnajiwaza mnafikiri kuzidi hata hizo fikra...ukombozi wa pili ukiisha kupatikana wewe na wenzio ni wa kupiga msasa kwanza ili tuondokane na taifa mbumbumbu...
 
Misukule ya ccm mnajiwaza mnafikiri kuzidi hata hizo fikra...ukombozi wa pili ukiisha kupatikana wewe na wenzio ni wa kupiga msasa kwanza ili tuondokane na taifa mbumbumbu...
Kama mkeo tu amekushinda hadi ameamua kuchepuka, mimi sitokuweza
 
Kwa CHADEMA mbona bado ni demokrasia tu? Unataka sisi wapenzi wa CHADEMA tupate wapi cha kumkosoa JPM? Mnataka tukalie kuangalia tu anavyotekeleza Ilani yao ya CCM, sisi tutawaambia nini wapiga kura 2020?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…