dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Chuo cha kuzalisha wajinga kinafanya kazi sana huko Yanga wajinga mnaongezeka kwa kasi sanaMods mpo wapi..
_Timu haina mfungaji bora
_Timu haijachukua ubingwa
_Timu haina kocha wa kueleweka
_Timu haina si ii o
_Timu imetuingiza hasara kucheza mechi za nyingi bila faida..tanesco mtawajibishwa
_Timu ina skendo za uchawi kila kona(mnawanga mpka mchana tena mbele za mashabiki)
_Timu haina kipa wa kueleweka (clean sheet chache kulingana na mechi alivocheza
Mods mpo wapi..
_Timu haina mfungaji bora
_Timu haijachukua ubingwa
_Timu haina kocha wa kueleweka
_Timu haina si ii o
_Timu imetuingiza hasara kucheza mechi za nyingi bila faida..tanesco mtawajibishwa
_Timu ina skendo za uchawi kila kona(mnawanga mpka mchana tena mbele za mashabiki)
_Timu haina kipa wa kueleweka (clean sheet chache kulingana na mechi alivocheza
Unaposema timu haina mfungaji bora unamaanisha nini? Kwani George Mpole ni mchezaji wa timu gani!Mods mpo wapi..
_Timu haina mfungaji bora
_Timu haijachukua ubingwa
_Timu haina kocha wa kueleweka
_Timu haina si ii o
_Timu imetuingiza hasara kucheza mechi za nyingi bila faida..tanesco mtawajibishwa
_Timu ina skendo za uchawi kila kona(mnawanga mpka mchana tena mbele za mashabiki)
_Timu haina kipa wa kueleweka (clean sheet chache kulingana na mechi alivocheza
GEORGE MPOLE FCUnaposema timu haina mfungaji bora unamaanisha nini? Kwani George Mpole ni mchezaji wa timu gani!
Unataka kusema mashabiki wa simba wanamshabikia mchezaji ambaye siyo wa timu yao! Yaani wamewatelekeza wafungaji bora wao akina John Bocco, Meddie Kagere na Kibu Denis, na kuhamia kwa George Mpole!
Watasema na kufanya mazuri, lakini ikifikia habari ya football Sheikh, kule hakuna mwenye akili isipokuwa watu wawili tu; baba yangu mzee Sunday na Mh. JK basi.Unaposema timu haina mfungaji bora unamaanisha nini? Kwani George Mpole ni mchezaji wa timu gani!
Unataka kusema mashabiki wa simba wanamshabikia mchezaji ambaye siyo wa timu yao! Yaani wamewatelekeza wafungaji bora wao akina John Bocco, Meddie Kagere na Kibu Denis, na kuhamia kwa George Mpole!
Siyo binadamu.Sahihisha.Ni limbukeni.Binadamu akipata matako hulia mbwata
Msemo wa kijijini pale kazuramimba senta🏃Binadamu akipata matako hulia mbwata
Mods mpo wapi..
_Timu haina mfungaji bora
_Timu haijachukua ubingwa
_Timu haina kocha wa kueleweka
_Timu haina si ii o
_Timu imetuingiza hasara kucheza mechi za nyingi bila faida..tanesco mtawajibishwa
_Timu ina skendo za uchawi kila kona(mnawanga mpka mchana tena mbele za mashabiki)
_Timu haina kipa wa kueleweka (clean sheet chache kulingana na mechi alivocheza
😂😂😂ndio nyumbn nn kiongoziMsemo wa kijijini pale kazuramimba senta🏃