Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda google utapata tips zoteWadau habari za jamvini mimi naomba msaada kwa yoyote mwenye imani ambaye anaweza kunipa tips za kwenda Canada kupambana uko kimaisha kama hauna lolote unalojua kaa pembeni subiri ujadili mengine
Huu ndio ushauri unaofanya kazi bila chenga nyingiKwasasa kupitia njia ya shule inawezekana sana.
Bora ajichanganye na wacongo,west African wote nuksi wanaweza kukuingiza kwenye matatizoAll the best mkuu, hakikisha unafikia ndoto yako, usikatishwe tamaa na watoto wanaoishi bado na mashemeji zao, la muhimu jiandae kisaikolojia yaani kichwa kiwe tayari kwa challenges zote utakazokumbana nazo, fanya basic requirements kama passport, few usd, air ticket na UJASIRI ,good luck na ukifika jichanganye na wapopo kuliko wabongo!,just kidding
Mtafute huyu 0710481583Wadau habari za jamvini mimi naomba msaada kwa yoyote mwenye imani ambaye anaweza kunipa tips za kwenda Canada kupambana uko kimaisha kama hauna lolote unalojua kaa pembeni subiri ujadili mengine
VancouverMama wewe ukikaa mji gani