KAGAMEE JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 4,457 Reaction score 5,454 Sep 28, 2020 Thread starter #21 Kitombise said: bila shaka mpira huujui, mchezaji ubora wake hauonekani kwenye kufunga tu, bali hata kutengenezea wenzake wafunge. Nb: acha kusikiliza mpira kwa njia ya radio, next time tazama mpira kwa njia ya video. Click to expand... Mkuu bila shaka ww unaangalia mpira wa bongo tu (VPL)
Kitombise said: bila shaka mpira huujui, mchezaji ubora wake hauonekani kwenye kufunga tu, bali hata kutengenezea wenzake wafunge. Nb: acha kusikiliza mpira kwa njia ya radio, next time tazama mpira kwa njia ya video. Click to expand... Mkuu bila shaka ww unaangalia mpira wa bongo tu (VPL)
Kitombise JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 8,575 Reaction score 25,619 Sep 28, 2020 #22 KAGAMEE said: Mkuu bila shaka ww unaangalia mpira wa bongo tu (VPL) Click to expand... umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu.
KAGAMEE said: Mkuu bila shaka ww unaangalia mpira wa bongo tu (VPL) Click to expand... umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu.
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,211 Reaction score 1,059 Sep 28, 2020 #23 Kitombise said: umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu. Click to expand... TK Master anawatesa sana
Kitombise said: umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu. Click to expand... TK Master anawatesa sana
KAGAMEE JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 4,457 Reaction score 5,454 Sep 28, 2020 Thread starter #24 Kitombise said: umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu. Click to expand... Logic yangu haipo kwenye kufunga magoli mkuu
Kitombise said: umekariri, siyo kila kiungo mshambuliaji/winga lazima afunge. ndio mana unaona lamini moro anafunga ila Tuisila kisinda anapuyanga tu. Click to expand... Logic yangu haipo kwenye kufunga magoli mkuu