Bado nakumbuka hili tukio japo nilikuwa mdogo

Bado nakumbuka hili tukio japo nilikuwa mdogo

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Habari za kutwa wana jamii forum, Poleni na pilika za kusaka mkate wa kila siku,

Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,

Baba na mama walitengana kitambo nikiwa na miaka 2, hivyo sisi tumelelewa na mama pekee,
Mama alikuwa akijishughulisha na kazi mbalimbali kama vile kufanya vibarua kwa kulima mashamba ya watu nk,

Sasa siku moja kwenye mida ya saa 10 tukiwa tunacheza nje mi na dadangu pamoja na watoto mwengine,
Mama alirudi kutoka kwenye shughuli zake, baada ya kula alioga na kulala japo hakuwa na tabia ya kulala mchana.

Sisi tukaendelea kucheza hadi mida ya saa 1 usiku, tukarudi ndani ili tujiandae kuoga,

Mara mama akaamka akachukua jembe, tukamuuliza mama unaenda wapi?, akasema naenda shambani kulima, tukamwambia mama unaendaje kulima usiku? hakutaka kuelewa, alikuwa kama amechanganyikiwa,

Tukaanza kulia huku tunaomba msaada kwa majirani, walivyokuja kidogo mama akili zikarejea akashtuka,
Akaweke jembe chini akabaki anajitafakari.

Huwa namkumbusha ananiambia, dunia ina mambo mengi mwanangu.

Thanks for your time guys.
 
Habari za kutwa wana jamii forum, Poleni na pilika za kusaka mkate wa kila siku,

Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,

Baba na mama walitengana kitambo nikiwa na miaka 2, hivyo sisi tumelelewa na mama pekee,
Mama alikuwa akijishughulisha na kazi mbalimbali kama vile kufanya vibarua kwa kulima mashamba ya watu nk,

Sasa siku moja kwenye mida ya saa 10 tukiwa tunacheza nje mi na dadangu pamoja na watoto mwengine,
Mama alirudi kutoka kwenye shughuli zake, baada ya kula alioga na kulala japo hakuwa na tabia ya kulala mchana.

Sisi tukaendelea kucheza hadi mida ya saa 1 usiku, tukarudi ndani ili tujiandae kuoga,

Mara mama akaamka akachukua jembe, tukamuuliza mama unaenda wapi?, akasema naenda shambani kulima, tukamwambia mama unaendaje kulima usiku? hakutaka kuelewa, alikuwa kama amechanganyikiwa,

Tukaanza kulia huku tunaomba msaada kwa majirani, walivyokuja kidogo mama akili zikarejea akashtuka,
Akaweke jembe chini akabaki anajitafakari.

Huwa namkumbusha ananiambia, dunia ina mambo mengi mwanangu.

Thanks for your time guys.
Hiyo kawaida mbona! Mimi wakati niko primary Darasa la saba,nilisha wai lala mchana usingizi mzito sana, kuja kustuka usingizini nikakimbilia bafuuni kuoga faster nikatoka naanza kuvaa nguo za shule ndiyo nastuliwa wwe unaenda wapi!? Nikawaambia naenda shule tena nimwchelewa kuamka,na nikawalaamu wanandugu kwa nini hawakuniamsha!? Ndiyo wakanisanua kua saa hizi ni Jioni,nami ndiyo fahamu zikarudi na kuangalia angaa pamoja na saa, nilijiona mjinga sana!![emoji2][emoji3][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo kawaida mbona! Mimi wakati niko primary Darasa la saba,nilisha wai lala mchana usingizi mzito sana, kuja kustuka usingizini nikakimbilia bafuuni kuoga faster nikatoka naanza kuvaa nguo za shule ndiyo nastuliwa wwe unaenda wapi!? Nikawaambia naenda shule tena nimwchelewa kuamka,na nikawalaamu wanandugu kwa nini hawakuniamsha!? Ndiyo wakanisanua kua saa hizi ni Jioni,nami ndiyo fahamu zikarudi na kuangalia angaa pamoja na saa, nilijiona mjinga sana!![emoji2][emoji3][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
 
Mamaenu aliwapenda sana, lakini babaenu hakua mtu wa kujali kabisa. Ukata, njaa na ukosefu wa chakula kulimfanya mamaenu awe anazima data, hasa akiwafikiria ninyi watoto wake mtakula nini.
Basi hali hiyo ilimfanya mamaenu kujikuta akiwaza kulayenu wakati wote na hata ikafikia anapambana hadi anasahau majira na nyakati.
 
Mamaenu aliwapenda sana, lakini babaenu hakua mtu wa kujali kabisa. Ukata, njaa na ukosefu wa chakula kulimfanya mamaenu awe anazima data, hasa akiwafikiria ninyi watoto wake mtakula nini.
Basi hali hiyo ilimfanya mamaenu kujikuta akiwaza kulayenu wakati wote na hata ikafikia anapambana hadi anasahau majira na nyakati.
Kweli kabisa mkuu, na nilimuahidi mama tangu nikiwa mdogo kuwa nitamjengea, Namshukuru Mungu nimetimiza,
na anaishi vizuri kabisa.
 
Mara nyingi hunitokea pale unapolala mchana halafu singizi ukikata ukiamka jua linawaka au kuna mwanga na network haijakaa sawa unakua na wenge ukidhani kumepambazuka
 
Habari za kutwa wana jamii forum, Poleni na pilika za kusaka mkate wa kila siku,

Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,

Baba na mama walitengana kitambo nikiwa na miaka 2, hivyo sisi tumelelewa na mama pekee,
Mama alikuwa akijishughulisha na kazi mbalimbali kama vile kufanya vibarua kwa kulima mashamba ya watu nk,

Sasa siku moja kwenye mida ya saa 10 tukiwa tunacheza nje mi na dadangu pamoja na watoto mwengine,
Mama alirudi kutoka kwenye shughuli zake, baada ya kula alioga na kulala japo hakuwa na tabia ya kulala mchana.

Sisi tukaendelea kucheza hadi mida ya saa 1 usiku, tukarudi ndani ili tujiandae kuoga,

Mara mama akaamka akachukua jembe, tukamuuliza mama unaenda wapi?, akasema naenda shambani kulima, tukamwambia mama unaendaje kulima usiku? hakutaka kuelewa, alikuwa kama amechanganyikiwa,

Tukaanza kulia huku tunaomba msaada kwa majirani, walivyokuja kidogo mama akili zikarejea akashtuka,
Akaweke jembe chini akabaki anajitafakari.

Huwa namkumbusha ananiambia, dunia ina mambo mengi mwanangu.

Thanks for your time guys.
Mkuu Mama kapambana weeee mpaka leo unajua kutumia Keyboard. Halafu unaoa Kamachame kamoja hivi mama anakuja kukutembelea kwenye Kasri lako pale Gobba kuona matunda ya Hustling zake za kulima Vibarua. Unaaambiwa huyu mama yako hafananii, huyu mama yako amekomaa kama John cena, Huyu mama yako mweusi kama mkaa! Kwakweli mimi humu ndani simtakiiiii. Chagua moja mama yako au Mimi Cutte Isabella!
Wake zetu, Wapenzi wetu tambueni kwamba Makovu, kukomaaa, sura kupauka, macho meusi ni mapambano ya Mama zetu yaliyofanya tukafika UDSM, UDOM nk hadi kufikia mafanikio ya sasa. Namna yoyote ya kumdis mama wa mmeo au Mpenzio unahatarisha Ndoa yako.
Poleni mama zetu.
 
Mkuu Mama kapambana weeee mpaka leo unajua kutumia Keyboard. Halafu unaoa Kamachame kamoja hivi mama anakuja kukutembelea kwenye Kasri lako pale Gobba kuona matunda ya Hustling zake za kulima Vibarua. Unaaambiwa huyu mama yako hafananii, huyu mama yako amekomaa kama John cena, Huyu mama yako mweusi kama mkaa! Kwakweli mimi humu ndani simtakiiiii. Chagua moja mama yako au Mimi Cutte Isabella!
Wake zetu, Wapenzi wetu tambueni kwamba Makovu, kukomaaa, sura kupauka, macho meusi ni mapambano ya Mama zetu yaliyofanya tukafika UDSM, UDOM nk hadi kufikia mafanikio ya sasa. Namna yoyote ya kumdis mama wa mmeo au Mpenzio unahatarisha Ndoa yako.
Poleni mama zetu.
Hii comment iwekwe kwenye billboard pale daraja la kijazi kila ajaye mjini auone huu ujumbe
 
Hicho ni kitendo cha kawaida sana.
Mkuu Mama kapambana weeee mpaka leo unajua kutumia Keyboard. Halafu unaoa Kamachame kamoja hivi mama anakuja kukutembelea kwenye Kasri lako pale Gobba kuona matunda ya Hustling zake za kulima Vibarua. Unaaambiwa huyu mama yako hafananii, huyu mama yako amekomaa kama John cena, Huyu mama yako mweusi kama mkaa! Kwakweli mimi humu ndani simtakiiiii. Chagua moja mama yako au Mimi Cutte Isabella!
Wake zetu, Wapenzi wetu tambueni kwamba Makovu, kukomaaa, sura kupauka, macho meusi ni mapambano ya Mama zetu yaliyofanya tukafika UDSM, UDOM nk hadi kufikia mafanikio ya sasa. Namna yoyote ya kumdis mama wa mmeo au Mpenzio unahatarisha Ndoa yako.
Poleni mama zetu.
Umenena vyema mkuu, tuwe makini sana na wake zetu, Hata bible inasema tuishi nao kwa akili.
 
Mara nyingi hunitokea pale unapolala mchana halafu singizi ukikata ukiamka jua linawaka au kuna mwanga na network haijakaa sawa unakua na wenge ukidhani kumepambazuka
Kumbe ni hali ya kawaida?
 
Habari za kutwa wana jamii forum, Poleni na pilika za kusaka mkate wa kila siku,

Niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,

Baba na mama walitengana kitambo nikiwa na miaka 2, hivyo sisi tumelelewa na mama pekee,
Mama alikuwa akijishughulisha na kazi mbalimbali kama vile kufanya vibarua kwa kulima mashamba ya watu nk,

Sasa siku moja kwenye mida ya saa 10 tukiwa tunacheza nje mi na dadangu pamoja na watoto mwengine,
Mama alirudi kutoka kwenye shughuli zake, baada ya kula alioga na kulala japo hakuwa na tabia ya kulala mchana.

Sisi tukaendelea kucheza hadi mida ya saa 1 usiku, tukarudi ndani ili tujiandae kuoga,

Mara mama akaamka akachukua jembe, tukamuuliza mama unaenda wapi?, akasema naenda shambani kulima, tukamwambia mama unaendaje kulima usiku? hakutaka kuelewa, alikuwa kama amechanganyikiwa,

Tukaanza kulia huku tunaomba msaada kwa majirani, walivyokuja kidogo mama akili zikarejea akashtuka,
Akaweke jembe chini akabaki anajitafakari.

Huwa namkumbusha ananiambia, dunia ina mambo mengi mwanangu.

Thanks for your time guys.
Pole sana Ndugu
 
Back
Top Bottom