Ulijaribu kutumia mapenzi mapya kusahau mapenzi ya nyuma; it works to some but it doesn't to many!
Kujaribu kumtoa, tafuta vitu vyake vilivyokuwa vinakuboa; capitalize on them, uvifikirie hivyo tu na mwisho utamchukia na hivyo kumfuta akilini!
Ulikuwa kwenye ubongo wangu, Hiyo ndiyo strategic mujarab...mwanamke una akili wewe uko single?
Kijana hujui huyo ni mke wangu mpenzi?Kwanza unauliza ili iweje?
Kijana hujui huyo ni mke wangu mpenzi?Kwanza unauliza ili iweje?
nimependa hii tight marking.... haibiwi mtu hapa!
Bila shaka ulioa kabla ya kukutoka kichwani .........kifupi bado unampenda ingawa unatumia maneno "bado yuko kichwani"...Tusiwe tunaingia kwenye ndoa tukiwa kwenye situation hii.
Ushauri: Wewe ni Baba, Kiongozi wa familia na mume....Hebu onyesha kwamba wewe ni kiongozi..Suala kama hilo halipaswi kukuhangaisha....Yakija makubwa ya kwenye ndoa utaweza?
Ulikuwa kwenye ubongo wangu, Hiyo ndiyo strategic mujarab...mwanamke una akili wewe uko single?
big up swthat,kumbe smtym una maneno ya busara!