cartura JF-Expert Member Joined Aug 13, 2009 Posts 3,026 Reaction score 789 Jun 17, 2012 #41 mkuu isije ikawa ulikuwa unaji-express kwa uwazi sana enzi hizo, but siku hizi heshima na formalities zimezidi mno ndani ya ndoa.... loosen up a little bit bro!
mkuu isije ikawa ulikuwa unaji-express kwa uwazi sana enzi hizo, but siku hizi heshima na formalities zimezidi mno ndani ya ndoa.... loosen up a little bit bro!
M-bongotz JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 1,736 Reaction score 408 Jun 17, 2012 Thread starter #42 Bishanga said: Mbongotz,dini yako inakuruhusu kuoa mke wa pili? Click to expand... Hapana mkuu dini hairuhusu,na wala sina mpango wa kusaliti ndoa,kinachonitatiza tu ni kwamba imenichukua muda mrefu kumsahau.
Bishanga said: Mbongotz,dini yako inakuruhusu kuoa mke wa pili? Click to expand... Hapana mkuu dini hairuhusu,na wala sina mpango wa kusaliti ndoa,kinachonitatiza tu ni kwamba imenichukua muda mrefu kumsahau.